Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,149
- 12,818
Salaam mwenu wadau!
Wengi tuliamini kutokana na zile sifa alizokapataga Dkt. Kimei siku inafunguliwa CRDB tawi la Chato huko mkoani Geita basi hakika Dr. Kimei angeula kwenye baraza la Mawaziri la huyu mzee!
Nafikiri hata kwenda kugombea ubunge huko Vunjo, Kimei alijua lazima ataingia kwenye Baraza la Mawaziri lakini siku zimepita na Baraza limetangazwa lakini Charles hayupo!
Nini kimepelekea? Hakuwa anamjua vyema kipindi kile now ndo kamjua vizuri au?
Wengi tuliamini kutokana na zile sifa alizokapataga Dkt. Kimei siku inafunguliwa CRDB tawi la Chato huko mkoani Geita basi hakika Dr. Kimei angeula kwenye baraza la Mawaziri la huyu mzee!
Nafikiri hata kwenda kugombea ubunge huko Vunjo, Kimei alijua lazima ataingia kwenye Baraza la Mawaziri lakini siku zimepita na Baraza limetangazwa lakini Charles hayupo!
Nini kimepelekea? Hakuwa anamjua vyema kipindi kile now ndo kamjua vizuri au?