Kimetokea nini mpaka Dkt. Charles Kimei kuachwa kwenye Baraza la Mawaziri?

Uchaguzi wenyewe hakushinda ila alitangazwa tu kwa amri ya yesu. Hivyo hata asipopewa uwaziri ni sawa tu maana hata ubunge ni wa kuteuliwa. Ila ni bonge la aibu, mtu uko above 60, umeshakamata wadhifa mkubwa kwenye taasisi ya fedha, kisha muda wako wa kupumzika unakwenda kukaa mahali unagombania kuuliza maswali ya nyongeza yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Nasikia Magufuli ndiye aliyemshawishi kugombea Ubunge. Kuna fadhila Magufuli alitaka kulipa kwa huyu Mheshimiwa na ndiyo maana mtoa mada kaja na huu uzi.
 
Anahitaji muda wajameni.
Pindi atakapoyajua mapambio vizuri, pamoja na wakati (muafaka) wa kuyaimba huku akijigalagaza miguuni pa mungu wa burigi kama akina Propesa wa Jalalani, mambo yatakuwa MSWANO kwake.
Angalia akina Jenista/Ummy hawakauki humo?
Exactly, halafu unajua Kimei hatoki kanda pendwa ya ziwa, halafu anatoka kabila asilolipenda Zanzimana kuliko makabila yote Tanzania.
 
Salaam mwenu wadau!

Wengi tuliamini kutokana na zile sifa alizokapataga Dkt. Kimei siku inafunguliwa CRDB tawi la Chato huko mkoani Geita bas hakika Dr. Kimei angeula kwenye baraza la Mawaziri la huyu mzee!

Nafikiri ata kwenda kugombea ubunge huko Vunjo, Kimei alijua lazima ataingia kwenye Baraza la Mawaziri lakini siku zimepita na Baraza limetangazwa lakini Charles hayupo!

Nini kimepelekea? Hakuwa hakuwa anamjua vyema kipindi kile now ndo kamjua vizuri au?
Awamu hii hakuna mchaga atakuwa waziri
 
Salaam mwenu wadau!

Wengi tuliamini kutokana na zile sifa alizokapataga Dkt. Kimei siku inafunguliwa CRDB tawi la Chato huko mkoani Geita bas hakika Dr. Kimei angeula kwenye baraza la Mawaziri la huyu mzee!

Nafikiri ata kwenda kugombea ubunge huko Vunjo, Kimei alijua lazima ataingia kwenye Baraza la Mawaziri lakini siku zimepita na Baraza limetangazwa lakini Charles hayupo!

Nini kimepelekea? Hakuwa hakuwa anamjua vyema kipindi kile now ndo kamjua vizuri au?

Kulikuwepo na makubaliano hayo?
 
Salaam mwenu wadau!

Wengi tuliamini kutokana na zile sifa alizokapataga Dkt. Kimei siku inafunguliwa CRDB tawi la Chato huko mkoani Geita bas hakika Dr. Kimei angeula kwenye baraza la Mawaziri la huyu mzee!

Nafikiri ata kwenda kugombea ubunge huko Vunjo, Kimei alijua lazima ataingia kwenye Baraza la Mawaziri lakini siku zimepita na Baraza limetangazwa lakini Charles hayupo!

Nini kimepelekea? Hakuwa hakuwa anamjua vyema kipindi kile now ndo kamjua vizuri au?

Hivi Dr Kimei anatokea Mwanza, Shinyanga au Tabora?

Samahani kwa kuuliza hili swali, lakini mimi si mkabila hata kidogo!
 
Yaani katika wabunge 390, unaulizia mbunge mmoja tu eti kwann hakuteuliwa kuwa waziri?

Sisi mbunge wetu alikuwa mkurugenzi mkazi shirika la Umoja wa Mataifa, lakn wala hatuhoji kwann hajapewa hata unaibu.

Hapa naona kuna kajiharufu cha UKABILA

Magufuli endelea kukaza hvyo hvyo usipangiwe wala kusikiliza ujinga ujinga wa namna hii
 
2025 tunataka Rais Mchaga atupe mbinu za kutafuta hela Mangi siyo kukabana Koo wakati vyanzo vibovu
 
Kimei alikuwaga anaweka kauzibe mzee asijenge CRDB kubwa kuliko zote bongo huko Chato
Japokuwa na figisu za Kimei lakini CRDB ilijengwa Chato.
 
Vetting imekataa
Yule atajakuwa waziri tena full minister wa fedha,au biashara.
Yeye kwa sasa ni waziri wa fedha wa akiba anamsaidia kocha Magu kubaini makosa ya Waziri Mpango na waziri wa biashara na hata waziri wa uwekezaji.
Kipindi hiki kabla hata half time ataigia uwanjani na kumuondoa yule mwenye mapungufu.
Pia yawezekana ni mshauri au mwalimu wa fedha kwa mjomba Magu kwa sasa kumpa mbinu za uchumi wa kati.
 
Salaam mwenu wadau!

Wengi tuliamini kutokana na zile sifa alizokapataga Dkt. Kimei siku inafunguliwa CRDB tawi la Chato huko mkoani Geita basi hakika Dr. Kimei angeula kwenye baraza la Mawaziri la huyu mzee!

Nafikiri hata kwenda kugombea ubunge huko Vunjo, Kimei alijua lazima ataingia kwenye Baraza la Mawaziri lakini siku zimepita na Baraza limetangazwa lakini Charles hayupo!

Nini kimepelekea? Hakuwa anamjua vyema kipindi kile now ndo kamjua vizuri au?

Ila wabongo kwa kutengeneza habari hatujambo? labda utuambie ni nani aliyekuhakikishia kuwa lazima angukuwa kwenye baraza la mawaziri?
Watu walikuwa wanahisi tu kuwa pengine angemteuwa kuwa waziri kutokana na alivyomsifia sasa wewe unakuja kuandika hapa utafikiri Rais mwenyewe alikuhakikishia kuwa lazima amteue!!!!!
 
Kimei nuksi alimwanza alipofungua lile tawi la CRDB huko kwa Tanzania one.

Kilichofuata ni Kimei kutangaza kustaafu.

Huo uwaziri pia siyo rahisi maana huko kwetu alishaapa kututosa.

Profesa Mkenda Mbunge wa Rombo sio Mchaga? Ungetamani wabunge wote kutoka Chaga Federation wawe mawaziri?

Vv
 
huyu sidhani kama alifikisha hata kura 2,000 kwa kweli za halali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom