Kungwi Mtoto
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 796
- 773
Warumi hhaahahaha
Nauliza swali
Raisi wa wambea jf ni nani?
Nauliza swali
Raisi wa wambea jf ni nani?
Huyu kichwa maji aliyekuwa na ndoto za kuwa first lady alishamwagwa zamani sana na mwami wetu.Alikuwa sweetheart wa Zitto
Kimenukaaaaa , Bifu Jipya in Town kati ya rais wa wambea duniani Soudybrown na mwanadada mwenye sauti laini ya kumtoa nyoka pangoni Diva The Bawse.
Ila kusema ukweli hili bifu nina mashaka nalo makubwa sana ,ninahisi ni bifu la kupangwa ili CMG wasike sikike kidogo maana hawana jipya, mpaka wakatubu WCB ndipo watapata habari kidogo ambazo zitasababisha na wao wakapata tonge lao la ugali.
Kiki zao zimeanzia mbali, tangu kipindi kile Diva alipotangaza kuna mtu mkubwa anamsumbua sumbua hivyo amepanga kumtolea uvivu, siku hiyo alisababisha mamia ya watu kuweka notifications on ili wawe wa kwanza kupata ubuyu moto moto kabla haujapoa lakini mwisho wa siku ikaonekana kwamba ilikuwa ni kiki.
Ila anyway ngoja ,tuone kama hawa wanabifu kweli au wanatuektia, kama wana bifu kweli basi SoudyBrown ataumia zaidi kuliko Diva.
View attachment 896048
AiseeMkuu kumbe umbea ulianzaga zamani eeh? ila sio mbaya maana sometimes kuna baadhi ya thread zako zinanitoa tongo tongo
Sent using Jamii Forums mobile app
PoleNakumbuka kipindi kile diva anatoka na zito; nilipost comment moja kumhusu nikala ban ya miezi miwili.
WeweNauliza swali
Raisi wa wambea jf ni nani?
Tena Dar maeneo ya Buza analala sebuleni kwa mama mkwe.Hongera mwanaume Wa Dar!
Hance Mtanashati!
siyo anaishi kwa shemeji yake(bwana aliyemuoa dada yake)?Tena Dar maeneo ya Buza analala sebuleni kwa mama mkwe.