Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,374
- 21,070
Kimenukaaaaa , Bifu Jipya in Town kati ya rais wa wambea duniani Soudybrown na mwanadada mwenye sauti laini ya kumtoa nyoka pangoni Diva The Bawse.
Ila kusema ukweli hili bifu nina mashaka nalo makubwa sana ,ninahisi ni bifu la kupangwa ili CMG wasike sikike kidogo maana hawana jipya, mpaka wakatubu WCB ndipo watapata habari kidogo ambazo zitasababisha na wao wakapata tonge lao la ugali.
Kiki zao zimeanzia mbali, tangu kipindi kile Diva alipotangaza kuna mtu mkubwa anamsumbua sumbua hivyo amepanga kumtolea uvivu, siku hiyo alisababisha mamia ya watu kuweka notifications on ili wawe wa kwanza kupata ubuyu moto moto kabla haujapoa lakini mwisho wa siku ikaonekana kwamba ilikuwa ni kiki.
Ila anyway ngoja ,tuone kama hawa wanabifu kweli au wanatuektia, kama wana bifu kweli basi SoudyBrown ataumia zaidi kuliko Diva.
Ila kusema ukweli hili bifu nina mashaka nalo makubwa sana ,ninahisi ni bifu la kupangwa ili CMG wasike sikike kidogo maana hawana jipya, mpaka wakatubu WCB ndipo watapata habari kidogo ambazo zitasababisha na wao wakapata tonge lao la ugali.
Kiki zao zimeanzia mbali, tangu kipindi kile Diva alipotangaza kuna mtu mkubwa anamsumbua sumbua hivyo amepanga kumtolea uvivu, siku hiyo alisababisha mamia ya watu kuweka notifications on ili wawe wa kwanza kupata ubuyu moto moto kabla haujapoa lakini mwisho wa siku ikaonekana kwamba ilikuwa ni kiki.
Ila anyway ngoja ,tuone kama hawa wanabifu kweli au wanatuektia, kama wana bifu kweli basi SoudyBrown ataumia zaidi kuliko Diva.