wanaanza muhimbili then mtaa kwa mtaa, mwisho wapangaji kwa wapangaji
wanaanza muhimbili then mtaa kwa mtaa, mwisho wapangaji kwa wapangaji
Tutawaandalia chai!!
Ndo style ya LIWALO NA LIWE NINI?
punguza pombe yako naona imekuwa kali zaidi kama jina lako(Pombekali) naona umepishana na fire akili yako ikakupa kuwa ni f.f.u mbona kote shwari,au ni kiwewe tu!Ni kama wanaelekea katikati ya jiji! tujuzane wakuu
Yaani hii nchi! Ffu wakionekana tu wamepita wananchi wanajua kimenuka mahali! What a way to lead and rule kwa pamoja!
Sijakuelewa!wengi ni wajasiri kwenye kubofya tu,yoooooooote yaliyopo moyoni kwenu,na unafiki wenu unaonekana bado ni waoga wa hali ya juu kujitokeza!jitokezeni na mabango tuwajue!ili mpewe haki zenu!
Inasemekana Muhimbili hali ni tete kuna askari kapokea kichapo alionekana maeneo hayo akiwa na radio call