Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Imegoma mh...itakuwa uzushi.kuna video inagoma, juhudi za kuiweka zinaendelea
Imegoma mh...itakuwa uzushi.kuna video inagoma, juhudi za kuiweka zinaendelea
SISIEMU wamezoea sana kuishi kwa JANJA JANJA JAZZ BAND.Chama cha Mapinduzi Zanzibar kimepata pigo kubwa baada ya mamia ya Vijana wa uvccm waliotumikishwa kwa miaka mingi kwenye sekta ya Mazombie na Janjaweed kuzinduka na kuanza kukumbushia ahadi walizopewa na viongozi wao , kwamba watapatiwa ajira .
Leo baada ya danadana za kipindi kirefu wameibuka ofisi kuu ya ccm Kisiwandui kurejesha mamia ya kadi za chama hicho huku wakikituhumu kuwatumikisha bila kutimiza ahadi ya kuwapatia ajira , Je baada ya kurejesha kadi za ccm watajiunga na chama gani ?
Chanzo : Azam TV
hawana ubavu. watapewa kitu kidogo halafu watarudi kupiga watu kama kawaida. pesa ndogo inwanunua hawa.Chama cha Mapinduzi Zanzibar kimepata pigo kubwa baada ya mamia ya Vijana wa uvccm waliotumikishwa kwa miaka mingi kwenye sekta ya Mazombie na Janjaweed kuzinduka na kuanza kukumbushia ahadi walizopewa na viongozi wao , kwamba watapatiwa ajira .
Leo baada ya danadana za kipindi kirefu wameibuka ofisi kuu ya ccm Kisiwandui kurejesha mamia ya kadi za chama hicho huku wakikituhumu kuwatumikisha bila kutimiza ahadi ya kuwapatia ajira , Je baada ya kurejesha kadi za ccm watajiunga na chama gani ?
Chanzo : Azam TV
Chama la wanaChama cha Mapinduzi Zanzibar kimepata pigo kubwa baada ya mamia ya Vijana wa uvccm waliotumikishwa kwa miaka mingi kwenye sekta ya Mazombie na Janjaweed kuzinduka na kuanza kukumbushia ahadi walizopewa na viongozi wao , kwamba watapatiwa ajira .
Leo baada ya danadana za kipindi kirefu wameibuka ofisi kuu ya ccm Kisiwandui kurejesha mamia ya kadi za chama hicho huku wakikituhumu kuwatumikisha bila kutimiza ahadi ya kuwapatia ajira , Je baada ya kurejesha kadi za ccm watajiunga na chama gani ?
Chanzo : Azam TV
Wacha wee. Hulali mkuu na hizo juhudi zako hahahaha hahahaha. Yaan ni km muda wote una upload video tu. Hahahahani video mkuu ukubwa wake unanisumbua kuiweka , juhudi zinaendelea
Ikate vipande vipandeni video mkuu ukubwa wake unanisumbua kuiweka , juhudi zinaendelea
Hii picha inafikirisha. Kosa kubwa upinzanini.
Bila shaka wataenda Chadema ila msije kulaumu baadae.Chama cha Mapinduzi Zanzibar kimepata pigo kubwa baada ya mamia ya Vijana wa uvccm waliotumikishwa kwa miaka mingi kwenye sekta ya Mazombie na Janjaweed kuzinduka na kuanza kukumbushia ahadi walizopewa na viongozi wao , kwamba watapatiwa ajira .
Leo baada ya danadana za kipindi kirefu wameibuka ofisi kuu ya ccm Kisiwandui kurejesha mamia ya kadi za chama hicho huku wakikituhumu kuwatumikisha bila kutimiza ahadi ya kuwapatia ajira , Je baada ya kurejesha kadi za ccm watajiunga na chama gani ?
Chanzo : Azam TV
Hapana ,kuna tofauti kubwa, uvccm wapo kwa ajili ya kuchumia matumbo yao na ndiyo maana walikuwa wakitumikishwa kazi chafu za kishetani kwa ahadi ya kuajiriwa, wakati Bavicha wakifanya kazi kwa uadilifu kujitolea kujenga chama chao.Unafikiri uvccm ni sawa na bavicha?
Hakuna aliyelishwa sumu leo?Tayari JPM, Dr Shein, Comrade Mangula na Dr Bashiru wameshamaliza Mechi leo!
CCM ni genge la kihalifu tu,ni chukizo kwa Mungu na Watanzania wapenda hakiAcha kuiombea mabaya CCM.
CCM ndo uti wa mgongo wa maisha ya watanzania upande wa uchumi bora amani na utulivu
Zile damu walizomwaga zinaanza kuwatesaKwani uzombie sio kazi? Tehteh
akijibu nistue mkuuHakuna aliyelishwa sumu leo?
Chama cha Mapinduzi Zanzibar kimepata pigo kubwa baada ya mamia ya Vijana wa uvccm waliotumikishwa kwa miaka mingi kwenye sekta ya Mazombie na Janjaweed kuzinduka na kuanza kukumbushia ahadi walizopewa na viongozi wao , kwamba watapatiwa ajira .
Leo baada ya danadana za kipindi kirefu wameibuka ofisi kuu ya ccm Kisiwandui kurejesha mamia ya kadi za chama hicho huku wakikituhumu kuwatumikisha bila kutimiza ahadi ya kuwapatia ajira , Je baada ya kurejesha kadi za ccm watajiunga na chama gani ?
Chanzo : Azam TV
😆😆😆Daima shetani hanaga urafiki wa kudumu
Hao mamia kweli walienea pale Kisiwandui?Chama cha Mapinduzi Zanzibar kimepata pigo kubwa baada ya mamia ya Vijana wa uvccm waliotumikishwa kwa miaka mingi kwenye sekta ya Mazombie na Janjaweed kuzinduka na kuanza kukumbushia ahadi walizopewa na viongozi wao , kwamba watapatiwa ajira .
Leo baada ya danadana za kipindi kirefu wameibuka ofisi kuu ya ccm Kisiwandui kurejesha mamia ya kadi za chama hicho huku wakikituhumu kuwatumikisha bila kutimiza ahadi ya kuwapatia ajira , Je baada ya kurejesha kadi za ccm watajiunga na chama gani ?
Chanzo : Azam TV
Afu tutakula mavi yako?Acha kuiombea mabaya CCM.
CCM ndo uti wa mgongo wa maisha ya watanzania upande wa uchumi bora amani na utulivu
Wanguruka unaniangusha.Kigoma inawatu makini sana.Afu tutakula mavi yako?