Nyanswe Nsame
Senior Member
- Jul 9, 2019
- 158
- 175
Kimenuka Tarura Mwanza, watumishi hawamtaki Meneja, Fuko
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa