Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,107
- Thread starter
- #101
Na hao wachache wakijitokeza watapiga hela sanaHapa kwetu hao watu ni wachache sana na sidhani kama wapo ambao wamejikita kwenye hilo suala. Ndo vile tu, mtu unakuwa na copyright issue na hakuna specialized entertainment attorneys basi unaamu kwenda kwa yeyote ambae ana abc ya tasnia ya burudani.