Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,562
- 217,871
Kwamba mlipowahamishia huko 1959 mliwatoa kizazi ?Kama hoja ndo hizo basi bado hazijitoshelezi kabisa kumtoa Fred Manongi.
Mlipohamishwa toka Serengeti mlipelekwa Ngorongoro kwa majaribio tu kama wanyama pori na binadamu wanaweza ishi pamoja ata mie nilikuwa shahidi wa hili huo mwaka 1959.
Kama mamlaka imeona imekuwa ngumu kwa binadamu na wanyama pori kuishi pamoja basi ondokeni tu kwanza kipindi mnahamishiwa Ngorongoro population yenu ilikuwa ni ndogo sana kulinganisha na sasa kwani mlizaliana sana pia mliita jamaa zenu kutoka nje ya hifadhi kuja kuishi nanyi.
Kutokana na idadi yenu kuongezeka mmekuwa chanzo cha kuenea kwa mimea vamizi (invasive spesies) kama vile Eleusine jaegeri na haya ma solanum incanum ambayo hata siyo malisho kwa viumbe wetu.
Alafu tuacheni tu uongo hivi kweli kuna binadamu anaweza acha kumla swala anaye ingia anga zake?
Mamlaka ya uhifadhi ya Ngorongoro imefanya makubwa sana dhidi yenu wakati mnaouwezo kabisa wa kujitafutia riziki. Nasikia mpaka NCAA ilikuwa ikiwalimia na kuwavunia mazao nje ya hifadhi ili tu mule bila kufanya kazi yoyote!
Hameni bhana na hiyo mifugo yenu maana najua fika hamuwez vumilia kuona ng'ombe wenu akiliwa na simba.