Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,298
Hii itaturudisha nyuma hadi mwaka 2015 wakati wa kura za maoni ndani ya ccm , ni nani na nani waliomuunga mkono ?
Shetani hana rafikiView attachment 1376570
Hii itaturudisha nyuma hadi mwaka 2015 wakati wa kura za maoni ndani ya ccm , ni nani na nani waliomuunga mkono ?
Hakuna waziri aliyekuwa team Membe acheni upotoshaji!View attachment 1376570
Hii itaturudisha nyuma hadi mwaka 2015 wakati wa kura za maoni ndani ya ccm , ni nani na nani waliomuunga mkono ?
Subiri wapukutishweHakuna waziri aliyekuwa team Membe acheni upotoshaji!
Usiposifia juhudi wewe ni team MembeHakuna waziri aliyekuwa team Membe acheni upotoshaji!
Alikuwa Nape peke yake......naye alishatubu!Subiri wapukutishwe
Unadhani wewe unavyomchukia Membe na wote wanamchukia?Hakuna waziri aliyekuwa team Membe acheni upotoshaji!
Kwanini nimchukie mwanaccm mwenzangu?!
Hakuna waziri aliyekuwa team Membe acheni upotoshaji!
Mwaka 2015 kulikuwa na watu wawili tu ambao ndio ilikuwa inaaminika mmoja lazima awe rais. Watu hao ni Bwana Bernard Membe na Edward Lowassa. Kwa kawaida ya binadamu kujipendekeza na kutafuta kukumbukwa,hawa watu wawili lazima watakuwa walijipatia wapambe wengi sana. Labda useme wameshamkimbia. |
Vijana wa Membe wengi wako kwenye uDC.
Mwaka 2015 kulikuwa na watu wawili tu ambao ndio ilikuwa inaaminika mmoja lazima awe rais. Watu hao ni Bwana Bernard Membe na Edward Lowassa.
Kwa kawaida ya binadamu kujipendekeza na kutafuta kukumbukwa,hawa watu wawili lazima watakuwa walijipatia wapambe wengi sana. Labda useme wameshamkimbia.