cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 649
We wadanganye wenzio huku umejificha humu jf nenda naweye uwanja wa vita uoneNikukomaa hadi ccm na serikali yake wajue, upuuzi hautakiwi hata kidogo. Hii nchi itatuchuka miaka mingi kuwa na dira thabiti, kama serikali nzima na vyombo vya usalama vinaweza kushughulika na uchaguzi wa jimbo moja kwa takribani mwezi mmoja.