Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
Huo mtambo hapo juu unatumika kuyasaka hayo mahandaki,na hao ni wahandisi wa israel wakiwa kazini,
hizo semi zimebeba self propelled gun kuelekea mpaka wa israel na Lebanon,
juzi askari wa israel 25 walivuka blueline kuingia lebanon kwa dakika chache,jambo lilofanya jeshi la lebanon kusogeza vifaru mpakani,
jana kuna njemba tatu za hezbullah zilitest kina cha maji kwa kuingia hadi eneo israel wanakochimbua kabla askari wa israel hawajawaona na kuwafyatulia risasi,jamaa wakatokomea,
jana hiyohiyo askari wa israel wakiwa kwenye jeep zenye kupachikwa heavy machine gun walikuwa patrol hapo mpakani ,kisha wakashuka kuendelea na patrol,waliporudi kwenye jeep wakakuta bunduki mbili zimechomelewa kutoka kwenye gari,haijulikani hizb waliingia vipi kuziiba,hata hivyo hali ya hewa huko ni ukungu mkali na itakuwa hezbullah waliwafanyia timing,
habari zingine inasemekana hezbullah imeandaa brigade 4 za askari 5000 kila brigade,jumla ni askari 20000,hawa kazi yao ni kupenya ndani ya israel iwapo vita itaanza na kuteka baadhi ya vijiji maeneo ya galilaya,
hizb wanadai hawahitaji tunnels kuingia israel na kwamba habari za tunels ni uzushi wa israel na ndo mana mpaka sasa wamegundua tatu tu na inasemekana ni tunnels za miaka ya nyuma,
hizbullah wanadai wataingia israel in case of war through barbedwire kama walivyofanya 2006.
Israel wanadai hizo tunnel walizogundua wametega mabomu na atakae ingia ,aingia on in own risk,
kazi ya kutafuta tunnels itaendelea kwa miezi kadhaa,
mi nadhani israel wanawaotea hizb,wakijisahau tu,wanapenya
hizo semi zimebeba self propelled gun kuelekea mpaka wa israel na Lebanon,
juzi askari wa israel 25 walivuka blueline kuingia lebanon kwa dakika chache,jambo lilofanya jeshi la lebanon kusogeza vifaru mpakani,
jana kuna njemba tatu za hezbullah zilitest kina cha maji kwa kuingia hadi eneo israel wanakochimbua kabla askari wa israel hawajawaona na kuwafyatulia risasi,jamaa wakatokomea,
jana hiyohiyo askari wa israel wakiwa kwenye jeep zenye kupachikwa heavy machine gun walikuwa patrol hapo mpakani ,kisha wakashuka kuendelea na patrol,waliporudi kwenye jeep wakakuta bunduki mbili zimechomelewa kutoka kwenye gari,haijulikani hizb waliingia vipi kuziiba,hata hivyo hali ya hewa huko ni ukungu mkali na itakuwa hezbullah waliwafanyia timing,
habari zingine inasemekana hezbullah imeandaa brigade 4 za askari 5000 kila brigade,jumla ni askari 20000,hawa kazi yao ni kupenya ndani ya israel iwapo vita itaanza na kuteka baadhi ya vijiji maeneo ya galilaya,
hizb wanadai hawahitaji tunnels kuingia israel na kwamba habari za tunels ni uzushi wa israel na ndo mana mpaka sasa wamegundua tatu tu na inasemekana ni tunnels za miaka ya nyuma,
hizbullah wanadai wataingia israel in case of war through barbedwire kama walivyofanya 2006.
Israel wanadai hizo tunnel walizogundua wametega mabomu na atakae ingia ,aingia on in own risk,
kazi ya kutafuta tunnels itaendelea kwa miezi kadhaa,
mi nadhani israel wanawaotea hizb,wakijisahau tu,wanapenya