katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Hello husWORRRD
Hello husWORRRD
Aisee hapa mjini tuwe makini mashirika ya umeme mengi kweli
hivi huyu Zama kabila gani si ana watoto wawili na Ruge?
ni lini tena wameajiriwa na Tanesco kusambaza umeme? au wa mafuta from BK?
kweli tumepitwa na wakati, kuna kipindi tulipewa Ratiba ya Harusi ya Ru.. na huyu Mama kuwa itafanyika BK (British Kingdom) jioni watatua kwa ndege watamalizia kempisky kumbe haikufanyika
Vera si kwa udaku huuHajaacha kibarua kwa kutaka bali kafukuzwa Dubai
Inasemekana alipata danga club ambalo ni mjeshi baada ya kumalizana nae jamaa alikataa kumpa chake
Ndio kuanza kugombana na kukamatwa kuwekwa ndani wote wakaambiwa kila mtu atoe pesa au ndani miezi miwili au wiki mbili,jamaa alitoa nasikia pesa ni ndefu
Milly alikaa mpk akamaliza kifungo na kufungishwa virago arudi kwao
C unajua nchi za wenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
C unaona wadada wa mjiniVera si kwa udaku huu
Mbavu zangu Vera
Kwanza Milly ni mjinga kama alipewa patration kwasabb ya ugomvi. Hivi ukiona chaka hili Lina miiba si kipolepole unasogea kwan lazima uanze kukata miiba wakati halikuhusu?C unaona wadada wa mjini
Hawaachi kudanga
Ona kataka kudanga ameishia kudakwa na aliowatukana
Sent using Jamii Forums mobile app