ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
wakuu kwani bunge la jioni muda wake wa kwisha ni saa ngapi? nadhani hapo ndo utata ulipoanzia, inaonekana lingeweza kuendelea hadi saa sita usiku maana muda uliisha lakini Mama Makinda akaamua kuendelea sijui alinogewa au ulikuwa ni mkakati? Ila cdm wana intelijensia kali inaonekana walishpitishiwa nyeti kuna huo mkakati ndo wakaamua kujidefend mapemaaaaaaaa!
Safi sana, hawa magamba yatawashuka mwaka huu.
Safi sana, hawa magamba yatawashuka mwaka huu.