Zakamwamoba
Senior Member
- Jul 28, 2016
- 177
- 609
- Thread starter
- #101
Na kwenye page yake ya InstaNdio tena alitukana zaidi ya hayo kuna matusi mengine hayajawekwa ilikuwa ni kwenye you heard ya soudy brown kwenye XXL YA CLOUDS FM
Na kwenye page yake ya InstaNdio tena alitukana zaidi ya hayo kuna matusi mengine hayajawekwa ilikuwa ni kwenye you heard ya soudy brown kwenye XXL YA CLOUDS FM
daaa umetisha babaWa Dar.
Wa Dar.
Wenzake wanavujisha clip tu halafu asubuhi na mapema wanawahi BASATA kwisha jeuri yake huyo Diva..!!!Huyu Lukindo ni mwanaume wa aina gani?
Anamsumbua tu Diva bila sababu ya msingi.