Ajira EAC Secretariat

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Mar 31, 2016
6,215
7,373
Aisee EAC Secretariat japo Ipo Arusha (TZ) lakini Watanzania tumeishia kubakia nafasi za chini (udereva, wafagizi, receptionist). Sasa Wabunge toka Uganda nao wamestukia chezo la wakenya kujazana humo.
Wabunge toka TZ wametulia Kama hakuna kinachoendelea, huku wakilamba posho zao bila bugudha

Screenshot_2021-10-23-22-24-37-31.png
 
Wabunge Hawa Wetu Hawakushinda Uchaguzi Baadhi Yao
Kule Jeshini Wanasema (Kamlete) Yaani Hata Daniel.....Aliyeshindwa Kujieleza Jukwaani Kashinda Haa Haa


Nileteeni Gwajima x 3
Nileteeni Daniel x 3
 
Bunge la East Africa lugha ya kuwasilisha hoja Ni kiingereza.

Wabunge wetu huenda hawaonekani kuchangia sababu huenda ikawa lugha nasio lugha tuu Yan ujenge hoja kwa kingeli alafu uanze kubishana na mkenya kwa kingeli, huoni hapo ndo tumepigiwa bao?

Ndio Mana unaona battle n wabunge wa Uganda vs wabunge wa Kenya Hawa hyo lugha wanaimudu alafu Ni wepesi kujenga hoja na zinamantiki.

Wabunge wa Tanzania onyesheni umuhimu wenu kwa watu wenu vijana wa Arusha na Tanzania wanahitaji nguvu yenu humo EAST AFRICA jamani.
 
Wabunge wa Tanzania always wao kupuga posho na kupuga kura baadi kujadili hot debate never huko huwaoni...lugha shoda waambie umbea kiswazi utakimbiaaa shida ndio hiyo
 
Wakenya wanakula mema hapo EAC,...ni vyema wagawane hizo nafasi baina ya nchi wanachama.
 
Wabunge wapya wa EALA wanaoiwakilisha Tanzania ni
1. Josephine Lemoyan,
2. Happiness Lugiko,
3. Pamela Maassay,
4. Dk Ngwaru Maghembe,
5. Dk Abdullah Makame,
6. Habib Mnyaa
7. Fancy Nkuhi
8. Adam Kimbisa
9. Maryam

Hawa wote wameshindwa kupigania Hilo kweli
 
Aisee EAC Secretariat japo Ipo Arusha (TZ) lakini Watanzania tumeishia kubakia nafasi za chini (udereva, wafagizi, receptionist). Sasa Wabunge toka Uganda nao wamestukia chezo la wakenya kujazana humo.
Wabunge toka TZ wametulia Kama hakuna kinachoendelea, huku wakilamba posho zao bila bugudha

View attachment 1984690
Tatizo nadhani ni lugha pia... Wakenya wamewekeza katika kuhakikisha wanakiongea vyema kiingereza, Uganda sidhani, Tanzania ndio kabisa,
Sasa ofisi ambayo ina makutano ya watu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Afrika mashariki, tunategemea mfanyakazi wake atakuwa vizuri kwenye lugha kwenye hili wakenya wapo vizuri
NB: sina hakika kama nafasi nyingi EAC zinahitaji uelewa wa lugha ya kiingereza ila naamini hiyo ni moja ya kigezo kikubwa cha kuajiriwa hapo
 
Aisee EAC Secretariat japo Ipo Arusha (TZ) lakini Watanzania tumeishia kubakia nafasi za chini (udereva, wafagizi, receptionist). Sasa Wabunge toka Uganda nao wamestukia chezo la wakenya kujazana humo.
Wabunge toka TZ wametulia Kama hakuna kinachoendelea, huku wakilamba posho zao bila bugudha

View attachment 1984690
Naona bado hujaelewa mkuu, kinacholalamikiwa.

Hili ndilo tatizo letu waTanzania. Hatuna uelewa wa mambo. Sidhani kuwa ni tatizo la lugha inayotumika. Ni tatizo la kukosa uelewa kiujumla.

Tatizo linalolalamikiwa hapo linatokana na uhusika wetu, halafu mleta mada analigeuza kivyake!
 
Naona bado hujaelewa mkuu, kinacholalamikiwa.

Hili ndilo tatizo letu waTanzania. Hatuna uelewa wa mambo. Sidhani kuwa ni tatizo la lugha inayotumika. Ni tatizo la kukosa uelewa kiujumla.

Tatizo linalolalamikiwa hapo linatokana na uhusika wetu, halafu mleta mada analigeuza kivyake!
Chunga Sana "O" position yako
 
Naona bado hujaelewa mkuu, kinacholalamikiwa.

Hili ndilo tatizo letu waTanzania. Hatuna uelewa wa mambo. Sidhani kuwa ni tatizo la lugha inayotumika. Ni tatizo la kukosa uelewa kiujumla.

Tatizo linalolalamikiwa hapo linatokana na uhusika wetu, halafu mleta mada analigeuza kivyake!
Chunga Sana "O" position yako
 
Aisee EAC Secretariat japo Ipo Arusha (TZ) lakini Watanzania tumeishia kubakia nafasi za chini (udereva, wafagizi, receptionist). Sasa Wabunge toka Uganda nao wamestukia chezo la wakenya kujazana humo.
Wabunge toka TZ wametulia Kama hakuna kinachoendelea, huku wakilamba posho zao bila bugudha

View attachment 1984690
Hao Waganda wanampinga Mtanzania ambaye aliwashinda kwenye kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya Katibu wa Bunge la EAC
 
Ajira EAC ni reflection ya ajira huku mitaani.Huku site waKenya wanalavamia ajira sector binafsi hadi unashangaa.
ni kweli kabisa ni kama huku mtaani, lakini kwa huku mtaani hayo yameanza kurudi siku hizi tu, marehemu alishawapiga pini za sehemu nyeti wakakimbia wote...

bahati mbaya Mama Rais alipoingia akaenda Kenya kawaambia warudi Tanzania kwa sababu "nyinyi mna mitaji, sisi hatuna mitaji..." sasa wanarudi kwa nguvu kwenye shamba la Mama.

Wakati marehemu anasema tembeeni kifua mbele, msining'inize vichwa mbele ya wenzenu, alikuwa hawalengi Wajapani au Waingereza.... Mlengwa mkuu alikuwa ni MKENYA! Kwanini tujinyong'onyeshe hata mbele ya Mkenya, mla ugali, sukuma wiki na chang'aa mwenzetu huyu?
 
Aisee EAC Secretariat japo Ipo Arusha (TZ) lakini Watanzania tumeishia kubakia nafasi za chini (udereva, wafagizi, receptionist). Sasa Wabunge toka Uganda nao wamestukia chezo la wakenya kujazana humo.
Wabunge toka TZ wametulia Kama hakuna kinachoendelea, huku wakilamba posho zao bila bugudha

View attachment 1984690
Unaelewa lugha lakini? Kwani hapo shida ni kwa TZ vs Kenya au TZ and Kenya vs Uganda, Burundi and South Sudan? Rwanda yupo neutral. Hujasoma mwandishi kasema while the big economies Kenya and Tanzania are on the other side? Hujaona watanzania wangapi wameitwa kwenye interview vs Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na South Sudan?

Watu wengi kila wakati mwataka kuisema vibaya nchi yenu, ndio maana hatuendelei hivihivi.
 
Unaelewa lugha lakini? Kwani hapo shida ni kwa TZ vs Kenya au TZ and Kenya vs Uganda, Burundi and South Sudan? Rwanda yupo neutral. Hujasoma mwandishi kasema while the big economies Kenya and Tanzania are on the other side? Hujaona watanzania wangapi wameitwa kwenye interview vs Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na South Sudan?

Watu wengi kila wakati mwataka kuisema vibaya nchi yenu, ndio maana hatuendelei hivihivi.
Bibie umepaniki
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom