Kimei akabidhi mashuka vituo vya afya Himo na Mwika

SautiYaMnyonge

JF-Expert Member
May 13, 2018
439
742
Na Mwandishi Wetu,
VUNJO, Tarehe 28/07/2021.

Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe. Dkt. Charles Kimei leo amekabidhi mashuka kwenye vituo vya Afya vya Mwika na Himo.

Akikabidhi mashuka hayo aliwapongeza watoa huduma kwa nzuri ya kuhudumia wananchi:

"Niwapongeze kwa kazi nzuri mnayoifanya, tunajua changamoto zinazoikabili vituo vyetu vya Afya. Miongoni mwao ni pamoja na upungufu wa mashuka 100, hivyo nimekabidhi mashuka haya ili kuweza kupunguza changamoto hiyo."- Dkt. Kimei (Mb).

Mashuka hayo yalikabidhiwa kwenye vituo vya Afya Kata ya Mwika Kaskazini na Makuyuni.

Kwa upande wa madiwani kwa pamoja (Mhe. Samwel Shao- Mwika Kaskazini na Mhe. Dickson Tarimo- Makuyuni) walimpongeza Mhe. Mbunge kwa kuendelea kujitoa kwa ajili ya wananchi.

Uongozi wa kituo cha Afya cha Mwika na Himo wamempongeza Mhe. Dkt. Kimei Mbunge wa Jimbo la kwa msaada huo. Wamemuomba aendelee kuwasaidia pale penye uhitaji huo.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Vunjo.

IMG-20210728-WA0064.jpg
IMG-20210728-WA0068.jpg
IMG-20210728-WA0065.jpg
IMG-20210728-WA0069.jpg
IMG-20210728-WA0067.jpg
IMG-20210728-WA0070.jpg
IMG-20210728-WA0071.jpg
 
Na Mwandishi Wetu,
VUNJO, Tarehe 28/07/2021.

Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe. Dkt. Charles Kimei leo amekabidhi mashuka kwenye vituo vya Afya vya Mwika na Himo.

Akikabidhi mashuka hayo aliwapongeza watoa huduma kwa nzuri ya kuhudumia wananchi:

"Niwapongeze kwa kazi nzuri mnayoifanya, tunajua changamoto zinazoikabili vituo vyetu vya Afya. Miongoni mwao ni pamoja na upungufu wa mashuka 100, hivyo nimekabidhi mashuka haya ili kuweza kupunguza changamoto hiyo."- Dkt. Kimei (Mb).

Mashuka hayo yalikabidhiwa kwenye vituo vya Afya Kata ya Mwika Kaskazini na Makuyuni.

Kwa upande wa madiwani kwa pamoja (Mhe. Samwel Shao- Mwika Kaskazini na Mhe. Dickson Tarimo- Makuyuni) walimpongeza Mhe. Mbunge kwa kuendelea kujitoa kwa ajili ya wananchi.

Uongozi wa kituo cha Afya cha Mwika na Himo wamempongeza Mhe. Dkt. Kimei Mbunge wa Jimbo la kwa msaada huo. Wamemuomba aendelee kuwasaidia pale penye uhitaji huo.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Vunjo.

View attachment 1871872View attachment 1871873View attachment 1871874View attachment 1871875View attachment 1871876View attachment 1871877View attachment 1871878
Kimei bwana!!! Mihela yote aliyonayo anaacha kupumzika aile kilaini anahangaika na ubunge!!! Watu wenye hela bwana!!! Mbona sie hatuzipati? Yaani mimi ningekula hela yangu taratibu huku nikisaidia jamii zenye uhitaji. Yaani hiki anachofanya angeweza kufanya tu akiwa raia wa kawaida bila hussle yoyote.
 
Back
Top Bottom