Ohooo Ka Uzi kamepotea. Ule ujinga uliofanyika October 28 mwaka Jana umeturudisha miaka 80 nyuma.Wabunge wa CCM ndio kwanza wameanza kudanganya umma
1. Serikali haikufungia biashara za MBOWE, je Bilicanas ilivunjwa kwa amri ya Nani?
Tanzania daima ilifungiwa kwa amri ya Nani?
Mashamba kule Hai yaliharibiwa na Nani?
2. Eti ofisi ya Bunge haikupata barua ya kufutwa uanachama wa kina Mzee Halima Mdee
In sha Allah!Kwa utukufu wa mwezi huu wa Ramadhani, huyo Jobo hatakaa akanyage Tz.
Asante Mkuu kwa ushauriMabibi na mabwana kwa bahati mbaya tumeendekeza sana kuchukulia poa hata palipo na hatari kubwa za wazi.
Kuitana majina ya ajabu ajabu uzalendo uchwara ukihusishwa. Misimiati imekuwa ikiasisiwa upya kama kuleteana taharuki, hofu nk. Vimekuwa vikihusishwa vita vikiwamo vya kiuchumi.
Haya yamekuwa si mageni katika jamii hii ambayo katika hali ya kushangaza hukereka mno kila ukweli unaposemwa bayana.
Koleo na likaitwe kwa jina lake, wajameni.
Ukweli mchungu maisha ni matamu mno kuliko kitu chochote. Hata Yesu (Nabii Issa) aliomba ikiwezekana kikombe kile kimuepuke.
Palikuwa na haja watu kuondoka au kuondolewa kabisa tokea sehemu zilizo hatarishi zaidi kuhusiana na kimbunga hiki. Hivi tuko kimya tuna chapa kazi!
Hiiiiii bagosha!
Haina tofauti na tulivyokuwa tunahamasishana kuendelea kuchapa kazi ili tuje kuwauzia chakula waliokuwa wako lockdown kama vile sisi ndiyo wenye hati miliki ya maisha. Tumeendelea hivyo hadi yakatuka na bado hatuwezi kujifunza.
Kimbunga kinakuja tusisubiri kumsingizia Mungu.
Kwingine majengo thabiti zaidi ya vyuo, shule na hata taasisi
hutumika kuwahami watu kwenye dharura kama hizi. Sisi kwetu serikali ni kukusanya kodi tu zikiwamo hizi za kina Zungu?
Hata kusogea Morogoro au Dodoma ilikuwa si haba katika jitihada za kupigania au kuwahami watu.
Tusimwachie Mungu tu. Jitihada zetu kuishi zapaswa kufanywa.
Palipo uwezekano watu washauriwe na hata wasaidiwe kuondoka kwenye makazi yao kupisha kimbunga hiki.
Asante Mkuu kwa ushauri
Habari njema ni kuwa kimbunga hakitakuwa kikali Nguvu ya Upepo mkali imepungua isipo MVUA ndio tishio kwa sasa
Waliopo mabondeni bado wanayo nafasi ya kujisogeza
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.Mabibi na mabwana kwa bahati mbaya tumeendekeza sana kuchukulia poa hata palipo na hatari kubwa za wazi.
Kuitana majina ya ajabu ajabu uzalendo uchwara ukihusishwa. Misimiati imekuwa ikiasisiwa upya kama kuleteana taharuki, hofu nk. Vimekuwa vikihusishwa vita vikiwamo vya kiuchumi.
Haya yamekuwa si mageni katika jamii hii ambayo katika hali ya kushangaza hukereka mno kila ukweli unaposemwa bayana.
Koleo na likaitwe kwa jina lake, wajameni.
Ukweli mchungu maisha ni matamu mno kuliko kitu chochote. Hata Yesu (Nabii Issa) aliomba ikiwezekana kikombe kile kimuepuke.
Palikuwa na haja watu kuondoka au kuondolewa kabisa tokea sehemu zilizo hatarishi zaidi kuhusiana na kimbunga hiki. Hivi tuko kimya tuna chapa kazi!
Hiiiiii bagosha!
Haina tofauti na tulivyokuwa tunahamasishana kuendelea kuchapa kazi ili tuje kuwauzia chakula waliokuwa wako lockdown kama vile sisi ndiyo wenye hati miliki ya maisha. Tumeendelea hivyo hadi yakatuka na bado hatuwezi kujifunza.
Kimbunga kinakuja tusisubiri kumsingizia Mungu.
Kwingine majengo thabiti zaidi ya vyuo, shule na hata taasisi
hutumika kuwahami watu kwenye dharura kama hizi. Sisi kwetu serikali ni kukusanya kodi tu zikiwamo hizi za kina Zungu?
Hata kusogea Morogoro au Dodoma ilikuwa si haba katika jitihada za kupigania au kuwahami watu.
Tusimwachie Mungu tu. Jitihada zetu kuishi zapaswa kufanywa.
Palipo uwezekano watu washauriwe na hata wasaidiwe kuondoka kwenye makazi yao kupisha kimbunga hiki.
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.
Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
Mkuu bado huna Imani? Mungu amesikia maombi yetu watanzania. Mimi nikijichunguza simwoni ndugu wa ukoo wangu aliyekufa kwa korona.Sijasema haipo Ila sio kwa kiwango Cha kuhitaji lockdown.Wasiwasi wako tu.
Ukweli huwa mchungu kuliko shubiri.
Laiti nwendazake angesikiliza tu, mbona bashiri angekuwa KMK na mipango yetu Chatto ingekuwa inakwenda bam bam.
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Kikawaida cyclones huwa hazikimbilii towards the equator. Zikifanya hivyo huwa zinakosa nguvu na kutawanyika. Kwa maana hiyo hatari kubwa kwa hii Cyclone ya Jobo ni Lindi na Mtwara (9 degrees S) na sio Dar (6 degrees S).
Job Ndungai siku hizi amegeuka Kimbunga mpaka anaogopwa namna hiyo.
Kikawaida cyclones huwa hazikimbilii towards the equator. Zikifanya hivyo huwa zinakosa nguvu na kutawanyika. Kwa maana hiyo hatari kubwa kwa hii Cyclone ya Jobo ni Lindi na Mtwara (9 degrees S) na sio Dar (6 degrees S).
Ndiyo maana cyclones nyingi zinazoanzia bahari ya Hindi huwa zina gain southwards na kuishia Madagascar au Mozambique. Hii ya ku gain northwards towards the equator kwa kweli ni ajabu
Kikawaida ni vigumu kutokea cyclone/hurricane/typhoon 5 - 7 degrees South or North of the Equator sababu kuna Coriolis Effect ndogo. Dar ni 6 degrees South of Equator kwa hiyo ideally cyclone itadhoofishwa na kutawanyika inapokaribia Dar. Ndiyo maana Lindi na Mtwara (9 degrees S) makes more sense.
Huku kwetu kwenye Southern hemisphere cyclones zote huwa zinaenda clockwise, hata vimbunga n.k......kwenye Northern hemisphere huwa ni anti-clockwise. Sasa tunapo approach Equator huwa hii phenomenon inapungua na tunapoenda mbali na equator inaongezeka....na kwenye equator yenyewe hakuna hii effect......cyclones huwa hazikimbilii equator. Kwa mfano unaweza kufanya practical kidogo.....tukijaza sink maji tukiyafungulia yatazunguka clockwise sababu tupo Southern hemisphere ila kwa wenzetu waliopo northern hemisphere (mfano Uingereza) itakua anti-clockwise....na waliopo equator mfano Kenya au Uganda yataanguka tu straight down! Ndiyo maana inavyosemwa kitaenda northwards hapo ni ajabu sana.
Kinadharia....the worst that can happen kwa Dar ni mvua tu tena kwa kiasi chake. Kitakutana na mengi ya kukiresolve njiani mpaka kifike Dar. Imesahaulika tu kukumbushia oceanic currents,......maana kikiwa njiani kwa upande uliosemwa kutokea kitakutana na Mozambican current hivyo kitapunguzwa nguvu sana.
Vurugu inaweza kuwa kusini hasa Mafia, Rufiji na kwenda Lindi na Mtwara. Dar si rahisi....kikija northwards kuanzia (Dar) na kuendelea maeneo mengine northwards kweli kitakua kimefanya Job kama wanavyokiita Jobo
Oyaa kimbie wazeeUpepo umeanza
Tunashukuru sana mama kwa kutuondolea kimbunga. Mitano tenaMamlaka za hali ya hewa zimeendelea kutaka wananchi wachukue tahadhari dhidi ya kimbunga JOBO ambacho kwa sasa kipo umbali usiozidi km 400 kutoka mwambao wa Bahari ya Hindi.
Kamisheni ya Maafa Zanzibar imetoa tahadhari kwa wavuvi na wamiliki wa vyombo vya usafiri baharini kutokana na uwepo wa kimbunga hicho.
Kamisheni ya Maafa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) wanaendelea kufuatilia kimbunga na wataendelea kutoa taarifa.
sikupingi🤣🤣🤣Wewe jamaa ni jinga sana!
🙏🙏🙏Kikubwa ni kua karibu na vyanzo vya habari mkuuMtupu updates huko watu wa pwani ili sisi wa huku tandahimba tupate kujua
Ladies and gentlemen get ready we introducing to you Mister kimbunga jobo........Jobo on the beat
Kwahiyo Wamedesa tu kwa CNN Mkuu?Wameskia imeripotiwa CNN wakaona nawao watie chumvi