Jana Adam Kimbisa kwa kutumia kofia yake ya mbunge wa Afrika Mashariki alikuwa akijiapiza kwa mbwembwe mbele ya Rais Kenyatta kuwa katika suala la ICC "(Watanzania) tulikuwa na wewe, tumekuwa na wewe na tutaendelea kuwa na wewe"! Hivi ni nani aliyemtuma Kimbisa kufanya ujinga ule?