Serikali hii kila awamu inayoongozwa na CCM toka mwaka 1977 huwa inaongozwa kama gari lipo gereji na Lumumba ndio service center kupitia vyombo vyake vya habari ndio utasikia milio ya spana.
Sasa Bodi imejiuzulu ndio tuseme mnaacha kazi ya kurudishia injini kwa Serikali au kwa mwenye gereji mtueleze tutafute hatma ya hiyo gari.
Sasa Bodi imejiuzulu ndio tuseme mnaacha kazi ya kurudishia injini kwa Serikali au kwa mwenye gereji mtueleze tutafute hatma ya hiyo gari.