...Enhe WoS, leteni darasa nyie wa huko upande wa pili...
...Utamwambia Mumeo?
mume simwambiiiiiiiiiiiiiiii mbona ya nyumba ndogo hasemi.....
...Utaacha kazi?
kazi siachi...ndio napiga mzigo kabisa even overtime.....
...Utakubali "yaishe kiofisi"?
Mbu hebu hiyo senario tuigeuze, Tufanye mkeo anatakwa na executive wake, wewe kama mume kakueleza na kuomba ushauri ungemshauri nini??? au hajakuambia na ukajua itakuwaje? ukizingatia anapokea kitita cha nguvu, usafiri wife kanunua na trip kibao.
Mbu hebu hiyo senario tuigeuze, Tufanye mkeo anatakwa na executive wake, wewe kama mume kakueleza na kuomba ushauri ungemshauri nini??? au hajakuambia na ukajua itakuwaje? ukizingatia anapokea kitita cha nguvu, usafiri wife kanunua na trip kibao.
Mbu hebu hiyo senario tuigeuze, Tufanye mkeo anatakwa na executive wake, wewe kama mume kakueleza na kuomba ushauri ungemshauri nini???
au hajakuambia na ukajua itakuwaje? ukizingatia anapokea kitita cha nguvu, usafiri wife kanunua na trip kibao.
aaaah na ukikosa kazi sehemu nyingine itabidi uachie tu...??Ila baada ya hapo tafuta kazi sehemu nyingine haraka! maana kuna siku utajikuta kwenye anga zake....( performance Reviews etc) unaweza ukakwama.
...Wengi wape, naona hakuna anaye support huyu Executive ashikishwe "adabu"...! I bet ndio kamchezo kake...
I wonder inakuwaje unasikia kwenye kampuni/taasisi/wizara/hoteli fulani kuna bosi mwanaume anawatafuna sana wafanyakazi wake wa kike...
mfano; https://www.jamiiforums.com/habari-...eacock-hotels-na-unyanyasaji-wa-kijinsia.html
Mbu hebu hiyo senario tuigeuze, Tufanye mkeo anatakwa na executive wake, wewe kama mume kakueleza na kuomba ushauri ungemshauri nini??? au hajakuambia na ukajua itakuwaje? ukizingatia anapokea kitita cha nguvu, usafiri wife kanunua na trip kibao.
Tutapambana hadi kieleweke hata kama ni kumtegeshea PCCB!aaaah na ukikosa kazi sehemu nyingine itabidi uachie tu...??
... ha ha ha haaa... Kafara duuuuh!, na kweli mkuu....!
Bosi wa namna hiyo mnacheza na mamsapu tu,unampa ukweli halisia.Mnapanga na huyo executive lady wako mna meet sehemu then mkeo anaibuka anakuletea shobo haswa kama vile kashtukia ishu.
But hakikisha kua huyo executive lady asijue kama ni chezo mmecheza wewe na mkeo.
Ukiwini hiyo JOB UNABAKI NAYO NA RESPECT VILE VILE YAANI