Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,937
- 69,217
pole sanaJF ina vilaza sana, chanzo cha habari kinasema breki ilifeli sasa walitaka iweje? Haya mambo ya ajali hayana formular unaweza kuwa mahali unakunywa zako Jack Daniel ghafla unashangaa gari limekuvaa limekuvunja miguu yote.
Cha msingi ni kuomba tu Mungu kutuepusha