Kimaendeleo Awamu ya Tano iliinyanyapaa Nyanda za Juu Kusini. Mabalozi EU watembelea

Bila mizigo sgr itakuwa na maana gani? Unadhani uwekezaji wa sgr ni sawa na mwendokasi? Nasema hivi mradi utafeli kama ilivyofeli mingine..

Bila kujiendesha kwa faida nani atatoa ruzuku kupoteza pesa za umma? Tusubirie mda utasema
Hivi wewe unaamini kanda ya ziwa hakuna mizigo? Kwa taarifa yako kanda ya ziwa kuna mizgo mingi tu pia uganda atatumia treni hiyo ndo maana JPM akajenga daraja la busisi! Pia wasafirishaji wa mizigo ya kawaida kama mifugo n.k watatumia hiyo treni! Huwezi kutuambia treni hiyo haina wateja tuambie hayo mataifa mengine huwa yanafanyaje? Naukumbuke treni hii itaunganisha majiji makuu matatu dar,dodoma na mwanza huoni potential au unaongea tu ukiwa na nongwa zako!
 
Unaweza thibitisha huo uchache wake? Unajua kuna ndege ngapi zinatua pale kwa siku?

By the way distance matters ,kukaa kwenye basi masaa 16vs 11 no factor muhimu ya kuchagua usafiri
Mkuu wa wasafiri wa ndani uwanja wa ndege wa mwanza unaongoza! Lakini mbeya huko hamna kitu yaani saizi na dodoma inavyokua kwa kasi kazi yenu imeishia hapo!
 
Hivi wewe unaamini kanda ya ziwa hakuna mizigo? Kwa taarifa yako kanda ya ziwa kuna mizgo mingi tu pia uganda atatumia treni hiyo ndo maana JPM akajenga daraja la busisi! Pia wasafirishaji wa mizigo ya kawaida kama mifugo n.k watatumia hiyo treni! Huwezi kutuambia treni hiyo haina wateja tuambie hayo mataifa mengine huwa yanafanyaje? Naukumbuke treni hii itaunganisha majiji makuu matatu dar,dodoma na mwanza huoni potential au unaongea tu ukiwa na nongwa zako!
Sihitaji kuamini ila facts na Takwimu ndio zinaongea,70% ya mzigo kutoka Dar Port unaenda Sadc ,hiyo 30% inagawanywa Kati ya njia ya Kigoma na Mwanza,njia ya Kigoma ina share kubwa..

Wewe huo mzigo unatoka wapi? Kwa akili yako sgr ya Mwanza ikikamilika itakuwa profitable? Unachekesha subirieni maumivu lakini pia tutakuja kupinga serikali kutoa kodi zetu kuendeshea mradi wenye hasara..

Nadhani mnakumbuka jinsi TRC walivyokuwa na migogoro na kubadili wawekezaji,hicho ndicho kinawasubilia.
 
Sihitaji kuamini ila facts na Takwimu ndio zinaongea,70% ya mzigo kutoka Dar Port unaenda Sadc ,hiyo 30% inagawanywa Kati ya njia ya Kigoma na Mwanza,njia ya Kigoma ina share kubwa..

Wewe huo mzigo unatoka wapi? Kwa akili yako sgr ya Mwanza ikikamilika itakuwa profitable? Unachekesha subirieni maumivu lakini pia tutakuja kupinga serikali kutoa kodi zetu kuendeshea mradi wenye hasara..

Nadhani mnakumbuka jinsi TRC walivyokuwa na migogoro na kubadili wawekezaji,hicho ndicho kinawasubilia.
Mkuu ukisikia uendeshaji kwa hasara ni tatizo la wala rushwa usia isiamini kila kitu serkali ikiweka watu wajinga hata kama kuna faida wataila yote! Wewe husikiagi hata pale ferry kigamboni kwamba wanapata hasara! Lakini nikuhakikishie mizigo ipo ya kutosha ya kigoma itashukia tabora na ya mwanza itaendelea hiyo 30% ya mizigo pamoja na raia wa kanda hiyo mambo yatakuwa mazuri tu!
 
Mkuu wa wasafiri wa ndani uwanja wa ndege wa mwanza unaongoza! Lakini mbeya huko hamna kitu yaani saizi na dodoma inavyokua kwa kasi kazi yenu imeishia hapo!
Una matatizo kichwani,kukua kwa Dodoma au Mwanza kunahusikaje na mtu kusafiri kuja Mbeya?

Kwani safari ni za kujiburudisha au ni economical?

Hapo ni sawa na kusema Mbeya imesimama kimaendeleo 😄😄..Mbeya ni namba 3 kwenye GDP,na kwenye kila kitu cha kiuchumi..

Kwenye standard ya maisha iko juu ya Kanda zenu zote except Dar..Unachekesha huu ni Mkoa wenye fursa lukuki.

Acha noise za kipuuzi,Saizi serikali inafunga cold rooms pale Songwe airport Ili ku export Mazao ya horticulture,saa ngapi mikoa dry hiyo itaifikia Mbeya?
 
Mkuu ukisikia uendeshaji kwa hasara ni tatizo la wala rushwa usia isiamini kila kitu serkali ikiweka watu wajinga hata kama kuna faida wataila yote! Wewe husikiagi hata pale ferry kigamboni kwamba wanapata hasara! Lakini nikuhakikishie mizigo ipo ya kutosha ya kigoma itashukia tabora na ya mwanza itaendelea hiyo 30% ya mizigo pamoja na raia wa kanda hiyo mambo yatakuwa mazuri tu!
Kwa hiyo mwendokasi saizi wanakula rushwa? Tazara wanakula rushwa,ATcl wanakula rushwa na TRC miaka yote walikuwa wanakula rushwa?

Nasema hivi hakuna biashara yoyote ya maana Kati ya Dar na Mwanza,bora sgr ingejengwa kutoka Tanga hadi Musoma ingekuwa economical ,hii ya Sasa tembo mweupe
 
Una matatizo kichwani,kukua kwa Dodoma au Mwanza kunahusikaje na mtu kusafiri kuja Mbeya?

Kwani safari ni za kujiburudisha au ni economical?

Hapo ni sawa na kusema Mbeya imesimama kimaendeleo 😄😄..Mbeya ni namba 3 kwenye GDP,na kwenye kila kitu cha kiuchumi..

Kwenye standard ya maisha iko juu ya Kanda zenu zote except Dar..Unachekesha huu ni Mkoa wenye fursa lukuki.

Acha noise za kipuuzi,Saizi serikali inafunga cold rooms pale Songwe airport Ili ku export Mazao ya horticulture,saa ngapi mikoa dry hiyo itaifikia Mbeya?
Mkuu mimi sipo kutukanana! Nikuulize kitu? Miaka yote mbeya ipo na ipo kama ilivyo saizi,mji umedumaa hakuna majengo ya maana hata nyumba mtaani tu na wewe unalishuhudia hilo! Mzunguko wa pesa ni mdogo sana! Wawekezaji mbeya kwa sehemu kubwa wanavutiwa zaidi na kilimo lakini ukiangalia ukuaji wa mbeya na kelele zako hapa hamna tofauti na kahama, kahama inawazidi kila kitu hasa mzunguko wa pesa! Kaangalie prescion air wanaenda mara ngapi mbeya linga ishu na kahama utalipata jibu.
 
Kwa hiyo mwendokasi saizi wanakula rushwa? Tazara wanakula rushwa,ATcl wanakula rushwa na TRC miaka yote walikuwa wanakula rushwa?

Nasema hivi hakuna biashara yoyote ya maana Kati ya Dar na Mwanza,bora sgr ingejengwa kutoka Tanga hadi Musoma ingekuwa economical ,hii ya Sasa tembo mweupe
Wewe nyamaza utambue kabisa nchii hii wanaume ni kanda ya ziwa na kanda ya kaskazini nyie huko wasindikizaji tu!
 
Kwa hiyo mwendokasi saizi wanakula rushwa? Tazara wanakula rushwa,ATcl wanakula rushwa na TRC miaka yote walikuwa wanakula rushwa?

Nasema hivi hakuna biashara yoyote ya maana Kati ya Dar na Mwanza,bora sgr ingejengwa kutoka Tanga hadi Musoma ingekuwa economical ,hii ya Sasa tembo mweupe
Ukweli ndo huo! Ndo maana serkali haitakiwi ijihusishe na biashara iwape sekta binafsi
 
Tuliona hili bali tuliogopa kusema.
View attachment 1940646
Nyanda za Juu Kusini, Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa hata Katavi imenyanyapaliwa sana na Awamu ya Tano kimaendeleo.

Mikoa hii ndiyo bread basket ya nchi-wazalishaji wakubwa wa chakula.

Mwaka huu wamezalisha mahindi mengi kuliko uwezo wa Serikali.

Pengine Magufuli alitembelea mikoa hiyo mara moja au mbili wakati katika utawala wake Mwanza /Geita/Chato ni mara moja tu mbili kwa mwezi kukagua miradi.

Sasa hata nchi za nje zimeona hilo, na mabalozi wao kwa ujumla wametembelea mikoa hiyo.

Rais Samia tupia jicho huko tafadhali.
 
Mkuu miadi mingine toka Awamu ya Kiwete
Unasahau kuwa miradi yote ya ujenzi wa miundo mbinu chini ya Kikwete ilikuwa inabuniwa na Magufuli akiwa waziri wa ujenzi, na kusanifiwa na Mfugale! Ni zile contract 17 dubious za Bagamoyo wakati Kikwete anaondoka ndizo hazikuasisiswa na Magufuli na wala hakuziendeleza.
 
Sasa kama uwanja haujakamilika miaka yote hiyo,hapo Mwendazake anaingiaje? Ndio alikuwa anazuia?

Hiyo barabara sio worse kama unavyosema na inajengwa kwa awamu,walianzia Iringa wako hapo Igawa na wanafanya hivyo kusudi kwa sababu hakuna maana ya kufumua barabara nzima wakati bado inafanya Kazi,kwangu barabara ya muhimu ni Mbeya Chunya Tabora/Singida iwe lami yote italeta tija na ndio barabara kuu iliyobakia ina vumbi peke yake.

Mbona barabara ya Morogoro Dom ni mbaya kuliko hii ya Tanzam?

Hivyo vibarabara vya mjini ,Uyole Mbalizi na Iwambi Mbalizi zitajengwa kwa pamoja wakati wa ukarabati wa Tanzam Highway,ziko kwenye package moja ..Sio tuu kwamba zitapanuliwa bali zitajengwa kuwa njia 6 Kati ya Uyole na Songwe Airport..

Ishu ya mashirika kujenga majumba ni swala la kibiashara zaidi ila NHIF na CWT Wana majengo yao makubwa hapo Mbeya..Kwa kuongezea ni kwamba uwekezaji wa sekta ya umma kwenye majengo ulizuiwa kote ila wakiruhusiwa tena na wakaona kuna tija watawekeza .

Tazara ni jambo la Tzn,Zambia na China..Hiyo reli ni useless kama ambavyo mnajenga useless nyingine mnaita sgr huko Kanda ya Ziwa..

We kwa akili yako kama Tazara iliyoko kwenye transport corridor juu ya uchumi inaleta hasara ndio itakuwa hiyo ya huko Kanda ya Ziwa ambako hakuna cha maana cha kusafirisha?

Kinachotakiwa Mbeya ni kuwekeza kwenye agro processing industries na biashara ya kuvuka border , potential ni kubwa Sana wala haihitaji booster kihivyo..
Mkuu ngoja nitulie kwanza.
Usivyo na good analytical mind, unaona malori yanayo chana Tanzam highway yalivyo mengi hiyo barabara na unasema TAZARA ni useless?
Hakika mpo kutetea giza.
 
Nyinyi hata uwanja wa ndege mlipendelewa tu maana hata wasafiri wa dani kwenda huko ni wachache soko la uhakika ni kanda ya kaskazini na kamda ya ziwa kwa wanaume! Hivi Mbeya hicho kijiji kikubwa kiwe na uwanja wa ndege wa kimataifa kabla ya mwanza?
Kama hujui ni vizuri kuuliza.
Ndege za Fast Jet zilikuwa zina jaa sana hadi Magufuli akazipiga marufuku.
Wasafiri walitoka si Mbeya tu bali mkioa ya karibu yote ikiwa ni pamoja na Malawi, Zambia na Congo.
Watu wakiacha magari yao Mbeya na kufika DSM siku hiyo hiyo ,kufanya biashara na kurudi siku ya pili.
Mahoteli Mbeya yakijaa.
 
M
View attachment 1940646
Nyanda za Juu Kusini, Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa hata Katavi imenyanyapaliwa sana na Awamu ya Tano kimaendeleo.

Mikoa hii ndiyo bread basket ya nchi-wazalishaji wakubwa wa chakula.

Mwaka huu wamezalisha mahindi mengi kuliko uwezo wa Serikali.

Pengine Magufuli alitembelea mikoa hiyo mara moja au mbili wakati katika utawala wake Mwanza /Geita/Chato ni mara moja tu mbili kwa mwezi kukagua miradi.

Sasa hata nchi za nje zimeona hilo, na mabalozi wao kwa ujumla wametembelea mikoa hiyo.

Rais Samia tupia jicho huko tafadhali.
Kuu Geita alisha kuja mara 1 tu kufungua hosteli za police.
 
Back
Top Bottom