Kimaendeleo Awamu ya Tano iliinyanyapaa Nyanda za Juu Kusini. Mabalozi EU watembelea

Mkuu, hakuna anaetetea uovu na hakuna anaefurahia ukandamizaji au uonevu.

Nchi hii imewahi kupitia nyakati ambapo wafanyakazi hewa wanalipwa mishahara yet hakuna madawa kwenye hospitali za umma, haikuwa sawa na haitakuwa sawa.

Tukemee matendo mabaya, na tukubatie mema yaliyofanyika ili kizaza cha sasa na kijacho wawe na bechmark ya rejea kwa mema wayaige na kwa mabaya wasiyafuate.

Tanzania ni kubwa kuliko sote, na hatima ya Tanzania ni kubwa kuliko sote. JPM ametangulia mbele ya haki, itoshe kusema alipigania mkataka wa Bart Airtel ukawa surface kwa maslahi ya Tanzania.
GoT kuwa sehemu ya executive managament ya Twiga Corp haikuwa kwa manufaa ya familia yake ila familia Tz; kwa haya iko haja kumshukuru na kuenzi alichofanya.
Mkuu tunachosema jamaa ameacha uongozi in a bad taste.
Upendeleo kimaendelei na nyadhifa, ukabila, unyanysaji, utesaji(wasiojulikana), hivi vitu vimachafua utendaji wake.
Hata umpambe vipi.
 
Jiwe alipeleka maendeleo sehemu 4 tu, yaani Chato, Mwanza, Dodoma na Dar es salaam! Hizo 2 za mwisho ndo kwavile ilikuwa haizuiliki vinginevyo maendeleo yangeishia Chato na Mwanza peke yake! Mwanza kwa sababu ndo Dar es salaam ya Chato na Chato ni kwa sababu ni Chato!
Reli ya Moshi ulifufua wew bawasiri wa machame

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
The potential to grow must lie in the people, and not in fertile soils or minerals, to mention a few.

Failing that, the latter might just as well be in Antarctica if not a far away planet.

The likes of Elon Musk are already contemplating the takeover of Mars and other planets.

You lamenters in bongo are going to be taken over by the lesser varieties of pirates(the new Cecil Rhodeses) and I can assure you they will tie you in mind chains and at times,cut your stupid throats.
 
Wagawanye uwatawale
Jukumu namba moja la balozi yeyote ni kutetea maslahi ya taifa lake hivyo tukumbuke wao wako kwenye kutetea maslahi yao na sio vinginevyo.
Tena ieleweke vyema maslahi yao si shruti kuwa maslahi yetu pia
 
View attachment 1940646
Nyanda za Juu Kusini, Mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa hata Katavi imenyanyapaliwa sana na Awamu ya Tano kimaendeleo.

Mikoa hii ndiyo bread basket ya nchi-wazalishaji wakubwa wa chakula.

Mwaka huu wamezalisha mahindi mengi kuliko uwezo wa Serikali.

Pengine Magufuli alitembelea mikoa hiyo mara moja au mbili wakati katika utawala wake Mwanza /Geita/Chato ni mara moja tu mbili kwa mwezi kukagua miradi.

Sasa hata nchi za nje zimeona hilo, na mabalozi wao kwa ujumla wametembelea mikoa hiyo.

Rais Samia tupia jicho huko tafadhali.
Sikubaliani na wewe mkuu, mataga walikuwa hawataki kufanya ziara Kusini ila maendeleo yalifangika kama kawaida.
 
Mikoa ya southern highlands inapotential sana, ila wao wanaitenga, kuimega na kuanzisha mikoa mipya. Kama kuivunja Mbeya na kuanzisha mkoa mpya, lile lilikuwa ni kosa basi tu kiburi cha viongozi. Hata Iringa na Rukwa nazo hivyo hivyo, wamejimegea tu.
Kosa gani hapo sasa? Mbeya na wanyakyusa walikuwa wanajipendelea ukaundwa Songwe,Iringa wahehe walikuwa wanajipendelea tukaunda Njombe,the same to Rukwa na Katavi
 
Hao watu wa kaskazini na Mbeya wanajionaga akili mingi lakini nawajulisha tu nyinyi saizi hamna namna tena kanda ya ziwa hamuiwezi tunakula sahani moja kwenye shule,biashara n.k
Mna uchumi wa kutuzidi Kusini lakini au ndio mnategemea migodi iwavushe?
 
kanda ya ziwa inabeba population ya 40% ya Watanzania. Kwa msingi wa suala la uwiano, ina maana kwenye kila Watanzania 10, 4 watakuwa wanatoka kanda ya ziwa.

SGR imeanzia Dar-Moro (phase 1)
Moro-Dom (Phase 2)
Phase ya Isaka-Mwanza ndio imesainiwa mwaka huu na aliezindua ni Madam President SSH. Na basically SGR haipiti Chato.

JPM atakuwa sawa na ubinadamu kama wa Mzee Pinda kujenga airport Katavi, Sumaye kujenga airport Arusha, Mwandosya kujenga airport ya Songwe akiwa waziri wa uchukuzi, Msuya kujenga lami wilaya yote ya Mwanga na kupeleka umeme kila kijiji toka enzi za mchonga, enzi za Nyerere airport ya Musoma ilikuwa functional.

Huo ni ubinadamu ila kama ni uwekezaji wa huduma za kijamii ameacha zikihudumia Watanzania huwezi kumlinganisha na baadhi ya Watanzania waliokwiba mali za umma na kuficha visiwa vya ughaibuni.

Tukipima deliverable za huyu mzee kwa miaka 5 na miezi 3 kupeleka umeme kwa vijiji elfu 10 kati ya elfu 12 kwa Tanzania yote na miradi ya maji safi na salama (kwa maana maji ya bomba) kufikia zaidi ya 60% ya Tanzania yote.
Kuna barabara ya lami Dom-Arusha via Manyara badala ya kuzunguka mpaka Singida
Barabara ya lami kwenda Ifakara/Mahenge toka Moro
Ukuta wa Mirerani na mkeka mpaka Arusha licha ya sale Tanzania kukua kwa effort ya kujenga ukuta.


Kuimarika kwa usalama kumepelekea mauzo ya uwazi kuongezeka ikiwamo govt revenue collections mpaka akina Laizer wakatokea


kwa hizo kazi itoshe kusema ni assets its worth of embracing vs liabilities.
Acha upuuzi ,thibitisha hiyo 40% ndio tuanze kujadili hoja .

Mwisho tugawane kikanda Ili tuone nani ni nani
 
Hao watu wa kaskazini na Mbeya wanajionaga akili mingi lakini nawajulisha tu nyinyi saizi hamna namna tena kanda ya ziwa hamuiwezi tunakula sahani moja kwenye shule,biashara n.k
Tukijishanda kstika maendeleo katika level playing ground hakuna shida.
Lakini mada hii ni unyanyapaa mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini.
Mara SGR, Chato Airport, Busisi daraja na kivuko etc etc.
Kama baba Mwendazake alitakiwa kusambaza miradi mikubwa nchi nzima.
Tazama sasa kajenga li Sirport likubwa Chato, hela zetu, uwanja unatua kunguru tu.
 
Fuatilia ndugu, utakuta miradi yote hiyo Magu kakuta kazi kubwa imeshafanyika, na yeye akamalizia tu! Bandari ya Mtwara kwa mfano, suala la upanuzi lilianza wakati wa amsha amsha ya gesi. Ili kuwezesha meli za vifaa mbalimbali kuweza kutia nanga, ilibidi bandari ipanuliwe.

Na hata bandari zingine, including Bandari ya Dar es salaam, Tanga na za maziwa, utaratibu ulianza kabla ya JPM. Google mwenyewe Dar es salaam Port Masterplan na Tanzania Ports Master Plan; utakuta ilianza way back, ni kama ilivyo kwa upanuzi wa barabara za Dar es salaam ambazo hizo JPM alikuta hadi pesa ishatolewa, yeye akaja kujenga tu!

Hata hiyo barabara unayoonesha, JPM alizindua tu ujenzi wake wakati hadi pesa ilishapatikana. Google "Barabara ya Arusha-Holili-Taveta", na utakuta JPM akiwa na akina Kenyatta waliweka jiwe la msingi March 2016. Sasa jiulize, ingewezekana vipi mtu aliyeingia madarakani November 2015 awe aliweza kufanya upembuzi yakinifu hadi kupata pesa ya kujenga barabara ndani ya miezi 5. Uki-Google, utakuta pesa zilitolewa na African Dev Bank kabla Magu hajaingia madarakani.
Na JK alizungumzia hii barabara kwenye Bunge la Kenya alipopewa nafasi ya kulihutubia akiwa kwenye siku zake za mwisho mwisho pale Ikulu..Na alisema wazi kuwa benki ya maendeleo ya Africa imesharidhia kuweka mzigo kwenye ujenzi huo.
 
Tukijishanda kstika maendeleo katika level playing ground hakuna shida.
Lakini mada hii ni unyanyapaa mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini.
Mara SGR, Chato Airport, Busisi daraja na kivuko etc etc.
Kama baba Mwendazake alitakiwa kusambaza miradi mikubwa nchi nzima.
Tazama sasa kajenga li Sirport likubwa Chato, hela zetu, uwanja unatua kunguru tu.
Yaani kwa taarifa yako nyinyi na sisi kanda ya ziwa tunawapiga gepu kila idara iwe shule, biashara hata kilimo pia sisi ndo tunalima huko kwenu mbeya na mpanda! Kwenye madini ndo usiseme!
 
Back
Top Bottom