Kim na Rouhani wametuonyesha kuwa USA si lolote wala chochote, hawa ndio viongozi walionikosha tangu 2017

Wamekufa wanajeshi wengi lakin ni siri. Wakisema ukweli wanajeshi wao wafaanza kuogopa kusonga mbele.
Ungekuwa unajua vitu hata usingeandika upupu hapa.Hivi Kim Jong Un amefanya nini cha kumtingisha USA?Kipindi cha Obama na Trump ni kipi ambacho Kim ameonesha ubabe?Mara ya mwisho N.korea kurusha makombora bahari ya Japan ni Lini? Lini N.korea wamekorofisha S.Korea.Ukiangalia sasaivi Kiduku kaufyata.Adabu imekuwepo.Halafu kiduku alikuwa na utoto,saiz amepata ukubwa hana ujinga ujinga.

Kuhusu Iran ningekuona wa akili kama angalau angeuwa wanajeshi 5 tu wa marekani.Kushambulia kambi halafu usiue hata panyabuku huo nao ni ubabe?...wababe walikuwepo Cuba huko ,Urusi na Sio huko unakosema Iran wala wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mie katika hao wawili ktk suala la ubabe namkubali Kim tu. Yule rais aliypita wa Iran (Ahmed Nejad) ndio alikuwa rais kiburi kwa Iran. Huyu wa sasa ni mtaratibu.
Ha ha ha Mohamed Ahmed Nijad alikua mtata,Hata hivyo huyu wa sasa amewafanya Wamarekani wawe wanyonge kwani kawafanya Wamarekani na WaNATO wajifiche kwenye mashimo Kama panya.naposema mashimo namaana mahandaki.ha ha haa wakaacha kila kitu nje.
 
Me kitu ambacho siamini ni kuwa Iran imepiga mejengo matupu ya US. Kwa hio US hawalindi assets zao (silaha na hayo majengo). Hilo ni changa la macho tu wamekufa kibao ila kukubali ndo hawataki. Kwani hayo mejengo yalihamwa au walijua leo tutashambuliwa wakaondoka?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOT
Maisha matamu Mazee walikimbilia kwenye mashimo,waliacha kila kitu juu.
 
Ila mie katika hao wawili ktk suala la ubabe namkubali Kim tu. Yule rais aliypita wa Iran (Ahmed Nejad) ndio alikuwa rais kiburi kwa Iran. Huyu wa sasa ni mtaratibu.
Hata mm nawaza huyo jamaa angetawara sasa hivi kipindi cha Trump sijui ingekuwaje maana akili zake alikuwa azijua mwenyewe.
Hata kipindi chake Israel alikuwa hathubutu kuichokonoa Iran kama anavyo fanya sasa nchini siriya.
 
Haaa kwahiyo mtu akija akaitia moto nyumba yako utamchekea tu kwa sababu watoto wako hawajafa kwenye hiyo nyumba, hivi unajuwa gharama iliyo tumika kujenga hiyo kambi iliyo haribiwa?
Hivi we acha ujinga iliyoharibiwa ni sehemu ndogo sana ya kambi.Kama hujui tu ni kuwa roketi haishambulii na kuharibu eneo kubwa.Roketi 1 haiwezi hata kubomoa nyumba 2 za kawaida.Kwa hiyo kama unafananisha shambulio la roketi na mabomu basib utakuwa hujui unachoongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo katika mikakati yote ya kukutana hakuna mahali ambapo N.korea anakatazwa kufanya majaribio ya kijeshi wala Trump hakumkataza kuhusu kurusha ICMB.Wao wanafanya kama nchi nyingine ila sio kiukorofi mfano kurusha makombora kwenye bahari ya S.korea au ya Japan.Ukiwa mwongo uwe nankumbukumbu.
Mbali na kuendelea kurusha maroketi Bali Dogo Kim kakutana Mara mbili na babu Trump lakini Dogo kamgomea Babu mapendekezo yake ya kuachana na urushaji wa maroketi.Kwa hiyo Dogo hapangiwi Cha kuganya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi we acha ujinga iliyoharibiwa ni sehemu ndogo sana ya kambi.Kama hujui tu ni kuwa roketi haishambulii na kuharibu eneo kubwa.Roketi 1 haiwezi hata kubomoa nyumba 2 za kawaida.Kwa hiyo kama unafananisha shambulio la roketi na mabomu basib utakuwa hujui unachoongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbee.. Leo CNN wamepata nafasi ya kuingia al asad airbase na picha wametoa..fuatilia kesho sa hivi lala'
Wairan wamechakaza majengo, madege isivyo kawaida..
ChA ajabu air defences system za USA hawakuintercept short range supersonic missiles..
Je wataweza kweli kudetect na interception ya HYPESONIC missile?
Kikinuka leo wamarekani watakuwa wapole coz kambi zote za NATO middle east zajulikana..
Wairan wameonesha na kufundisha lughs moja tu ambayo marekani huielewa heavy retAliation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa unajua vitu hata usingeandika upupu hapa.Hivi Kim Jong Un amefanya nini cha kumtingisha USA?Kipindi cha Obama na Trump ni kipi ambacho Kim ameonesha ubabe?Mara ya mwisho N.korea kurusha makombora bahari ya Japan ni Lini? Lini N.korea wamekorofisha S.Korea.Ukiangalia sasaivi Kiduku kaufyata.Adabu imekuwepo.Halafu kiduku alikuwa na utoto,saiz amepata ukubwa hana ujinga ujinga.

Kuhusu Iran ningekuona wa akili kama angalau angeuwa wanajeshi 5 tu wa marekani.Kushambulia kambi halafu usiue hata panyabuku huo nao ni ubabe?...wababe walikuwepo Cuba huko ,Urusi na Sio huko unakosema Iran wala wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmarekani wa buza
 
Hata mm nawaza huyo jamaa angetawara sasa hivi kipindi cha Trump sijui ingekuwaje maana akili zake alikuwa azijua mwenyewe.
Hata kipindi chake Israel alikuwa hathubutu kuichokonoa Iran kama anavyo fanya sasa nchini siriya.
Mkuu tuwe wakweli waisrael na wamarekani wamefanya mashambulizi kibao dhidi ya Iran ya kitehama wakati wa Ahmed Nejad kwa lengo la kudhoofisha mradi wa Nuclear wa Iran.

Mimi siashabikii yoyote kati ya hao watatu Marekani, Iran na Korea kaskazini.
 
Mkuu tuwe wakweli waisrael na wamarekani wamefanya mashambulizi kibao dhidi ya Iran ya kitehama wakati wa Ahmed Nejad kwa lengo la kudhoofisha mradi wa Nuclear wa Iran.

Mimi siashabikii yoyote kati ya hao watatu Marekani, Iran na Korea kaskazini.
Lini mashambulizi ya kimtandao yakawa uchokozi ndugu
 
Unaandika kitu usichokijua.Haya tupe mrejesho wako na source zako za CNN.Bora ungetafuta kuongeza maarifa kuliko kubisha bila hoja.
Kumbee.. Leo CNN wamepata nafasi ya kuingia al asad airbase na picha wametoa..fuatilia kesho sa hivi lala'
Wairan wamechakaza majengo, madege isivyo kawaida..
ChA ajabu air defences system za USA hawakuintercept short range supersonic missiles..
Je wataweza kweli kudetect na interception ya HYPESONIC missile?
Kikinuka leo wamarekani watakuwa wapole coz kambi zote za NATO middle east zajulikana..
Wairan wameonesha na kufundisha lughs moja tu ambayo marekani huielewa heavy retAliation

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale US alipo Iraq anaweza kupata tarifa zote za kijasusi toka Iran, walijua jamaa wanajiandaa kushambulia na watashambulia wapi. Walichofanya ni kuondoa vinavyohamishika(mapema) na personnel wao. US ndiyo waliofahamu mwanzo kwamba Iran kaidungua ndege ya abiria ya Ukraine, japo Irani walibisha. Jamaa wako vizuri kwa intelligence, ndo maana Iran anafanya kila njia US aondoke ubavuni kwake. Anayekuzidi hukuzidi hata choo chake mkuu(hapo choo siyo jengo).
Me kitu ambacho siamini ni kuwa Iran imepiga mejengo matupu ya US. Kwa hio US hawalindi assets zao (silaha na hayo majengo). Hilo ni changa la macho tu wamekufa kibao ila kukubali ndo hawataki. Kwani hayo mejengo yalihamwa au walijua leo tutashambuliwa wakaondoka?!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom