Tokea Rais Trump achukue madaraka amechezewa mno na amedhalilishwa mno na hawa majabali wawili
1) Senior Kim Jong Un
2) Comrade Hassan Rouhani
Kim alitishiwa mno kwa mikwara tofauti tofauti na michambo ya Rais Trump huko Twitter lakini huyu mwamba alikuwa anafurumusha makombora kama hana akili vizuri kwenye anga la Japan na huko baharani, katest sana nyuklia lakini Trump amekuwa akiongea huko Twitter hadi kaomba meza ya mazungumzo lakini huyu Senior amekuwa mjeuri mno na mwenye maneno ya shombo kwa Trump
Hassan Rouhani jabali lingine linalotikisa na kumkosesha usingizi Trump licha ya vikwazo lukuki bado jamaa anafurumusha makombora kwenye kambi za Marekani na kuteka nyambizi na kutest silaha kwa miaka 4 hii Trump ameishia kulalamika kwenye Twitter huku Kim na Rouhani wakizidi kuwa radical kila kukicha wakitunishiana misuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
1) Senior Kim Jong Un
2) Comrade Hassan Rouhani
Kim alitishiwa mno kwa mikwara tofauti tofauti na michambo ya Rais Trump huko Twitter lakini huyu mwamba alikuwa anafurumusha makombora kama hana akili vizuri kwenye anga la Japan na huko baharani, katest sana nyuklia lakini Trump amekuwa akiongea huko Twitter hadi kaomba meza ya mazungumzo lakini huyu Senior amekuwa mjeuri mno na mwenye maneno ya shombo kwa Trump
Hassan Rouhani jabali lingine linalotikisa na kumkosesha usingizi Trump licha ya vikwazo lukuki bado jamaa anafurumusha makombora kwenye kambi za Marekani na kuteka nyambizi na kutest silaha kwa miaka 4 hii Trump ameishia kulalamika kwenye Twitter huku Kim na Rouhani wakizidi kuwa radical kila kukicha wakitunishiana misuli.
Sent using Jamii Forums mobile app