Kim Kardashian Miezi Sita Baada ya Kujifungua Akiwa Kwenye Bikini [PICHA]

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
[h=3][/h]
[h=3][/h]

Hebu mcheki Kim Kardashian ambaye ni mchumba wa rapa maarufu, Kanye West, akiwa kwenye bikini, miezi sita tu baada ya kujifungua mtoto wake wa kike aitwaye North West.
Kim mwenye umri wa miaka 33 ambaye ni nyota wa vipindi vya halisia kwenye televisheni amedhihirisha tena kwa mashabiki wake kuwa kuna sababu hasa zinazomfanya kuwa mmoja kati ya wanawake wanaozungumziwa zaidi Duniani kwa sasa.
 
Jmn mbn Wema yuko vzur 2 hamkuona mic tz mwaka wake alpta na bikin anavutia kiukwel
 


Hebu mcheki Kim Kardashian ambaye ni mchumba wa rapa maarufu, Kanye West, akiwa kwenye bikini, miezi sita tu baada ya kujifungua mtoto wake wa kike aitwaye North West.
Kim mwenye umri wa miaka 33 ambaye ni nyota wa vipindi vya halisia kwenye televisheni amedhihirisha tena kwa mashabiki wake kuwa kuna sababu hasa zinazomfanya kuwa mmoja kati ya wanawake wanaozungumziwa zaidi Duniani kwa sasa.

wow....O.M.G!!!
 
hiv huyu ndio wanasema zgo la haja huko ulaya?
ehehehehehhe mwe kweli ili uijui nyeupe lazima nyeusi iwe karibu yako!
bas sawa!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom