Nikiongea 750M za Kardashan na 1.2 billion za Kanye West zote ni net worth zao boss. Google na Forbes hawana muda Wa kuchambua unadaiwa na unadai kiasi gani. Ni kama mfano wakisema Jef Bezos ni tajiri namba moja duniani with net worth ya 160 bln dollars , halafu uulize na madeni yake ni kiasi gani, haiji.Na madeni anayokiasi gani? Hiyo ni gross je net amount ni kiasi gani?
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app