Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
Wasaalam,
Uvumii huu uliibuka zaidi mwaka jana
Vyombo vya habari vya serikali vilitoa picha na video zikimuonyesha Raisi huyo wa korea kaskazini katika kiwanda cha mbolea ,
Huku wakati ule kukiwa na ripoti zinazozidi kuzagaa katika mitandao ya kijamii kuwa labda Huenda Raisi huyu alikuwa amekufa
RAIS KIM JONG UN
Sasa wavuti mbalimbali zikatoa picha, tofauti tofauti zinaonyesha mabadiliko katika uso wake, nywele na meno ikilinganishwa na sura za zamani
Lakini kuna maoni kwamba baadhi ya picha kwa kweli zimetengenezwa
Drama hizi zilizuka baada ya Raisi huyu kijana kupotea kwa ajabu mwaka jana kwa siku 20 nadhani mnakumbuka mwaka jana swala hili Lilijadiliwa sana mitandaoni
Websleuths, walionyesha picha zenye tofauti kidogo kwenye pua ya Kim Jong-un , mikunjo ya uso, meno, Lips,Upunde wa nywele hapo kwenye Paji ,na masikio
Ambazo zilitofautiana kabisa na za zamani
Ikaonyeshwa kuwa pua yake ni mviringo kidogo tofauti na picha za mwanzo
Picha nyingine iliyoripotiwa inaonyesha meno ya Kim yakionekana tofauti na ya mwanzo.
Lakini wengine wakapinga na wakasema meno yaliyonyooka yanaweza kutengenezwa kwa urahisi tu.
Wengine walimnasa kwenye nywele zake, ambazo zinaonekana kuwa na Upinde mpana katika picha za hivi karibuni , lakini ikapingwa ikasemwa hii inaweza kuwa kazi tu ya kinyozi mwenye ujuzi.
Kuna skendo nyingine pia kuhusu masikio yake kuwa tofauti
Lakini uvumi huo pia ulipingwa vikali
Mnamo mwaka wa 2017, Sun Online walitoa picha za dikteta huyo akiwa kwenye majaribio ya kombora ambazo ni tofauti
Walakini, wengine wanaamini kwamba sahivi, muonekano huu umeonekana kwa sababu Kim halisi tayari amekufa na huyu wa sasa ni copy yake.
Mbunge wa zamani Louise Mensch alijiunga kwenye mjadala huo, na akatweet
"Meno, upinde wa midomo(lips,) na vingine ni Tofauti kabisa"
Aliongeza:
"Sio mtu yule yule. Lakini haitajadiliwa"
"Sijui ikiwa itatufaa kwenda pamoja, au laah, lakini hawa wawili hawafanani."
Lakini Daily Mail inaripoti picha ambazo Bi Mench alishiriki zinaonekana kuwa si sahihi na mbaya
Ilikuwa inshu kubwa na madai yalikuja wakati kiongozi huyo wa Korea Kaskazini alipokosa tukio la hali ya juu ambalo Rais alitakiwa kuwepo
Hakuhudhuria wakati Urusi ilipompa medali ya kuashiria kumbukumbu ya miaka 75 ya ushindi dhidi ya mjerumani na Nazi.
UNAHISI NINI??
PICHA za Kim Jong-un zilizoachiliwa siku 20 baada ya kutoweka na kushangaza zimeibua uvumi
Baadhi ya nadharia zinasema kuwa mara ilibidi iwe hivi kwa sababu ya afya mbaya ya kiongozi huyo, au hata anaweza kuwa amekufa kabisa ,wakati wengine walihoji ikiwa kutokuwepo kwake ni kipindi cha kusubiri kukaa fiti baada ya Plastic Surgery
Na kama Ujuavyo Rais huyu nguli, anaidaiwa kujibadilisha Sura ili afanane na Babu yake Mpambanaji wa Taifa
Na nchi hizi za Korea Kusini na Kaskazini ni vinara wa Plastic Surgery
Mwanaharakati wa haki za binadamu Jennifer Zeng alikuwa wa kwanza kutilia maanani tofauti hizo mpya za Rais Kim, iliripoti IBT.
"Je! Kim Jong-un alionekana Mei 1 ndiye wa kweli?"
Aliuliza kwenye Twitter pamoja na kulinganisha sura za Kim za zamani na mpya
katika machapisho mawili.
Mchangiaji mwingine alisema kwamba
Kim alionekana tofauti kidogo" wakati wa kuonekana kwake hivi karibuni.
"Mtazamo wangu ni kwamba alikufa na nafasi yake ikachukuliwa na mtu mwingine, au alikuwa nje ya macho ya umma kwa muda mrefu basi alikuwa akipona kutokana kwa upasuaji (plastic Surgery,)"
alitweet
"Pua yake inaonekana kuwa mviringo zaidi, nywele zake zinaonekana pana, na alikuwa na, makunyanzi karibu na macho wakati alitabasamu,"
post hiyo iliongezwa
"Mstari wa nywele unaweza kuwa ukipungua tu kwa kukata nywele, lakini macho na pua ni Tofauti "
Ilielezwa hivyo
Raisi huyo wa Korea Kaskazini alijitokeza, kwenye kiwanda cha mbolea baada ya kutoweka kwa karibu wiki tatu na kuzua madai kwamba alikuwa amekufa.
Alionekana pamoja na dada yake Kim Yo-jong,
Wasiwasi juu ya afya yake ulianza wakati alishindwa kuonekana kwenye sherehe muhimu mnamo Aprili 15,2020 kuadhimisha siku ya kuzaliwa ya Kim Il-sung, babu yake na mwanzilishi mpambanaji wa Taifa hilo
Akiendelea na uvumi huo, mwandishi wa habari wa China Shijian Xingzou alisema
"Kuna chanzo cha kuaminika kabisa " kilimwambia kiongozi wa Korea Kaskazini kim hali amekufa.
Ni mtindo wa matukio ule ule wa kupotea na kurudi wakiwa tofauti
Rejelea Mandela Madiba na Muhammadu Buhari
Je ni kwamba RAISI KIM kawa CLONED yule wa mwanzo kafa ??
Au ni zils PLASTIC SURGERY zake Anazofanya Ili Afanane na Babu yake.??
DaVinci XV,
Uvumii huu uliibuka zaidi mwaka jana
Vyombo vya habari vya serikali vilitoa picha na video zikimuonyesha Raisi huyo wa korea kaskazini katika kiwanda cha mbolea ,
Huku wakati ule kukiwa na ripoti zinazozidi kuzagaa katika mitandao ya kijamii kuwa labda Huenda Raisi huyu alikuwa amekufa
RAIS KIM JONG UN
Sasa wavuti mbalimbali zikatoa picha, tofauti tofauti zinaonyesha mabadiliko katika uso wake, nywele na meno ikilinganishwa na sura za zamani
Lakini kuna maoni kwamba baadhi ya picha kwa kweli zimetengenezwa
Drama hizi zilizuka baada ya Raisi huyu kijana kupotea kwa ajabu mwaka jana kwa siku 20 nadhani mnakumbuka mwaka jana swala hili Lilijadiliwa sana mitandaoni
Websleuths, walionyesha picha zenye tofauti kidogo kwenye pua ya Kim Jong-un , mikunjo ya uso, meno, Lips,Upunde wa nywele hapo kwenye Paji ,na masikio
Ambazo zilitofautiana kabisa na za zamani
Ikaonyeshwa kuwa pua yake ni mviringo kidogo tofauti na picha za mwanzo
Picha nyingine iliyoripotiwa inaonyesha meno ya Kim yakionekana tofauti na ya mwanzo.
Lakini wengine wakapinga na wakasema meno yaliyonyooka yanaweza kutengenezwa kwa urahisi tu.
Wengine walimnasa kwenye nywele zake, ambazo zinaonekana kuwa na Upinde mpana katika picha za hivi karibuni , lakini ikapingwa ikasemwa hii inaweza kuwa kazi tu ya kinyozi mwenye ujuzi.
Kuna skendo nyingine pia kuhusu masikio yake kuwa tofauti
Lakini uvumi huo pia ulipingwa vikali
Mnamo mwaka wa 2017, Sun Online walitoa picha za dikteta huyo akiwa kwenye majaribio ya kombora ambazo ni tofauti
Walakini, wengine wanaamini kwamba sahivi, muonekano huu umeonekana kwa sababu Kim halisi tayari amekufa na huyu wa sasa ni copy yake.
Mbunge wa zamani Louise Mensch alijiunga kwenye mjadala huo, na akatweet
"Meno, upinde wa midomo(lips,) na vingine ni Tofauti kabisa"
Aliongeza:
"Sio mtu yule yule. Lakini haitajadiliwa"
"Sijui ikiwa itatufaa kwenda pamoja, au laah, lakini hawa wawili hawafanani."
Lakini Daily Mail inaripoti picha ambazo Bi Mench alishiriki zinaonekana kuwa si sahihi na mbaya
Ilikuwa inshu kubwa na madai yalikuja wakati kiongozi huyo wa Korea Kaskazini alipokosa tukio la hali ya juu ambalo Rais alitakiwa kuwepo
Hakuhudhuria wakati Urusi ilipompa medali ya kuashiria kumbukumbu ya miaka 75 ya ushindi dhidi ya mjerumani na Nazi.
UNAHISI NINI??
PICHA za Kim Jong-un zilizoachiliwa siku 20 baada ya kutoweka na kushangaza zimeibua uvumi
Baadhi ya nadharia zinasema kuwa mara ilibidi iwe hivi kwa sababu ya afya mbaya ya kiongozi huyo, au hata anaweza kuwa amekufa kabisa ,wakati wengine walihoji ikiwa kutokuwepo kwake ni kipindi cha kusubiri kukaa fiti baada ya Plastic Surgery
Na kama Ujuavyo Rais huyu nguli, anaidaiwa kujibadilisha Sura ili afanane na Babu yake Mpambanaji wa Taifa
Na nchi hizi za Korea Kusini na Kaskazini ni vinara wa Plastic Surgery
Mwanaharakati wa haki za binadamu Jennifer Zeng alikuwa wa kwanza kutilia maanani tofauti hizo mpya za Rais Kim, iliripoti IBT.
"Je! Kim Jong-un alionekana Mei 1 ndiye wa kweli?"
Aliuliza kwenye Twitter pamoja na kulinganisha sura za Kim za zamani na mpya
katika machapisho mawili.
Mchangiaji mwingine alisema kwamba
Kim alionekana tofauti kidogo" wakati wa kuonekana kwake hivi karibuni.
"Mtazamo wangu ni kwamba alikufa na nafasi yake ikachukuliwa na mtu mwingine, au alikuwa nje ya macho ya umma kwa muda mrefu basi alikuwa akipona kutokana kwa upasuaji (plastic Surgery,)"
alitweet
"Pua yake inaonekana kuwa mviringo zaidi, nywele zake zinaonekana pana, na alikuwa na, makunyanzi karibu na macho wakati alitabasamu,"
post hiyo iliongezwa
"Mstari wa nywele unaweza kuwa ukipungua tu kwa kukata nywele, lakini macho na pua ni Tofauti "
Ilielezwa hivyo
Raisi huyo wa Korea Kaskazini alijitokeza, kwenye kiwanda cha mbolea baada ya kutoweka kwa karibu wiki tatu na kuzua madai kwamba alikuwa amekufa.
Alionekana pamoja na dada yake Kim Yo-jong,
Wasiwasi juu ya afya yake ulianza wakati alishindwa kuonekana kwenye sherehe muhimu mnamo Aprili 15,2020 kuadhimisha siku ya kuzaliwa ya Kim Il-sung, babu yake na mwanzilishi mpambanaji wa Taifa hilo
Akiendelea na uvumi huo, mwandishi wa habari wa China Shijian Xingzou alisema
"Kuna chanzo cha kuaminika kabisa " kilimwambia kiongozi wa Korea Kaskazini kim hali amekufa.
Ni mtindo wa matukio ule ule wa kupotea na kurudi wakiwa tofauti
Rejelea Mandela Madiba na Muhammadu Buhari
Je ni kwamba RAISI KIM kawa CLONED yule wa mwanzo kafa ??
Au ni zils PLASTIC SURGERY zake Anazofanya Ili Afanane na Babu yake.??
DaVinci XV,