py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
-Tuliambiwa Mara Navy seals wanafanya mazoezi ya Mara ya mwisho kwenda kumvamia Kim
-Tuliambiwa wale Navy waliomuua Osama wametumwa kuivamia Pyongyang
-Tuliambiwa stealth bombers ndege hatari zimetumwa kufanya kazi kumuondoa incumbent strong leader "Kim" huko NK
-Tuliambiwa nyambizi na vijidege vingine vimeenda kwenye rasi ya Korea kwenda kumaliza kazi .
-meli za kivita zilikuwa zinapambwa sana humu
Wale pro USA njooni mtupe feedback ase
-Tuliambiwa wale Navy waliomuua Osama wametumwa kuivamia Pyongyang
-Tuliambiwa stealth bombers ndege hatari zimetumwa kufanya kazi kumuondoa incumbent strong leader "Kim" huko NK
-Tuliambiwa nyambizi na vijidege vingine vimeenda kwenye rasi ya Korea kwenda kumaliza kazi .
-meli za kivita zilikuwa zinapambwa sana humu
Wale pro USA njooni mtupe feedback ase