Nimeipenda sana hii harusi,
Hongera zenu vijana.
Mie nilivofurahi utadhahni ni ndugu zangu, nawapenda maharusi. Walipendeza mnooooooo, hapa Kanye na Kim wakati wanaondoka North anaonekana kwa mbaaaalii.
Safi sana.
Wamependeza sana;
Kweli wamependezana.
Kati ya waalikwa ni Obama,
hivi alihudhuria?
jf laana tupuHee!! Ndiyo nani hawa jamani!! Kim, Kimathi au? Kanye!! Mh! Kanye tena! Ha ha aaah! Sasa hapo Kim ni nani na huyo Kanye ni nani!? Mwee!!
Ni ndoa ya tatu ya Kim #Dinazarde .
Wamependeza sana;
Kweli wamependezana.
Kati ya waalikwa ni Obama,
hivi alihudhuria?
hee!! Ndiyo nani hawa jamani!! Kim, kimathi au? Kanye!! Mh! Kanye tena! Ha ha aaah! Sasa hapo kim ni nani na huyo kanye ni nani!? Mwee!!