Kilwa: Zaidi ya tani laki mbili za Ufuta zenye thamani ya zaidi ya Mil 570/=, hazijulikani zilipo

abubakar MT

Senior Member
Jul 31, 2017
139
230
Zaidi ya tani laki mbili za Ufuta zenye thamani ya zaidi ya 570mil hazijulikani zilipo baada ya kuondolewa kwenye maghala mbali mbali ndani ya Wilaya ya Kilwa.
Thamani hiyo ni tofauti na mzigo uliokamatwa wiki hii ambapo jeshi limefanikiwa kukamata ufuta tani 32 wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 80 ukiwa unatoroshwa kutoka chama cha Msingi cha ushirika Linali kata ya Likawage wilayaya Kilwa .


Baada yataarifa hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe.Christopher Ngubiagai amwagiza Mkuu wa polisi Wilaya ya Kilwa(OCD) kuukamata mzigo huo na wahusika wote waliohusika kutengeneza nyaraka zisizo halali kukamatwa na kufikishwa mahamani.


Huu ni mchezo mpya tulio kwisha usahau masikioni mwetu ambapo kwasasa Maafisa msingi vya ushirika wakishirikiana na Wafanya biashara wasio waamifu kuanza tabia yenye lengo la kuwaibia wananchi ambapo mpaka sasa zaidi ya tani laki mbili zenye thamani ya zaidi ya 600 mil zimeripotiwa kuibiwa katika maghalambali mbali ndani ya Wilaya ya Kilwa.

Taarifa za Wizi na Ufisadi kwenye halmasauri zetu tulishaanza kuzisahau, lakini kwa taarifa hii ni doa chafu kwa serikali ya JPM huenda ni kwasababu yaonyesha Mh Raisi kaanza kuonyesha Upole katika kuwachukua Maamuzi magumu.

Source:
 
Zaidi ya tani laki mbili za Ufuta zenye thamani ya zaidi ya 570mil hazijulikani zilipo baada ya kuondolewa kwenye maghala mbali mbali ndani ya Wilaya ya Kilwa.
Thamani hiyo ni tofauti na mzigo uliokamatwa wiki hii ambapo jeshi limefanikiwa kukamata ufuta tani 32 wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 80 ukiwa unatoroshwa kutoka chama cha Msingi cha ushirika Linali kata ya Likawage wilayaya Kilwa .


Baada yataarifa hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe.Christopher Ngubiagai amwagiza Mkuu wa polisi Wilaya ya Kilwa(OCD) kuukamata mzigo huo na wahusika wote waliohusika kutengeneza nyaraka zisizo halali kukamatwa na kufikishwa mahamani.


Huu ni mchezo mpya tulio kwisha usahau masikioni mwetu ambapo kwasasa Maafisa msingi vya ushirika wakishirikiana na Wafanya biashara wasio waamifu kuanza tabia yenye lengo la kuwaibia wananchi ambapo mpaka sasa zaidi ya tani laki mbili zenye thamani ya zaidi ya 600 mil zimeripotiwa kuibiwa katika maghalambali mbali ndani ya Wilaya ya Kilwa.

Taarifa za Wizi na Ufisadi kwenye halmasauri zetu tulishaanza kuzisahau, lakini kwa taarifa hii ni doa chafu kwa serikali ya JPM huenda ni kwasababu yaonyesha Mh Raisi kaanza kuonyesha Upole katika kuwachukua Maamuzi magumu
Taarifa yako imemegeka megeka haiwezi kusaidia chochote. Tulia, ilete vizuri ili ieleweke. Vyama gani vya ushirika?
 
Zaidi ya tani laki mbili za Ufuta zenye thamani ya zaidi ya 570mil hazijulikani zilipo baada ya kuondolewa kwenye maghala mbali mbali ndani ya Wilaya ya Kilwa.
Thamani hiyo ni tofauti na mzigo uliokamatwa wiki hii ambapo jeshi limefanikiwa kukamata ufuta tani 32 wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 80 ukiwa unatoroshwa kutoka chama cha Msingi cha ushirika Linali kata ya Likawage wilayaya Kilwa .


Baada yataarifa hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe.Christopher Ngubiagai amwagiza Mkuu wa polisi Wilaya ya Kilwa(OCD) kuukamata mzigo huo na wahusika wote waliohusika kutengeneza nyaraka zisizo halali kukamatwa na kufikishwa mahamani.


Huu ni mchezo mpya tulio kwisha usahau masikioni mwetu ambapo kwasasa Maafisa msingi vya ushirika wakishirikiana na Wafanya biashara wasio waamifu kuanza tabia yenye lengo la kuwaibia wananchi ambapo mpaka sasa zaidi ya tani laki mbili zenye thamani ya zaidi ya 600 mil zimeripotiwa kuibiwa katika maghalambali mbali ndani ya Wilaya ya Kilwa.

Taarifa za Wizi na Ufisadi kwenye halmasauri zetu tulishaanza kuzisahau, lakini kwa taarifa hii ni doa chafu kwa serikali ya JPM huenda ni kwasababu yaonyesha Mh Raisi kaanza kuonyesha Upole katika kuwachukua Maamuzi magumu
Hizo tani laki mbili zimeibiwa katika kipindi gani, maana tungeona mishemishe kibao za zile semitrela za tani arobaini zikihamisha mzigo
 
Zaidi ya tani laki mbili za Ufuta zenye thamani ya zaidi ya 570mil hazijulikani zilipo baada ya kuondolewa kwenye maghala mbali mbali ndani ya Wilaya ya Kilwa.
...

... hizo hela ni tsh au usd? Tani laki 2 (200,000,000kg) kwa 570,000,000! Yaani 1kg for Tsh. 2.85! Utakuwa umekosea i suspect. Otherwise, hilo zao halina msaada kwa mkulima.
 
Back
Top Bottom