Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Jaman Si ndo wawekezaji wenyewe hao washaanza kuingia nchini au hamkumuelewa Mama Samia?, serikali yenyewe ishasema inawatengenezea mazingira rafiki wawekezaji kutoka nje waje kuwekeza nchini, mi hakuna hata kilichonishtua hapo.

Kazi iendelee, Ccm mbele kwa mbele
Sikufahamu ili kwasababu hapa nina stock ya kutosha nimehifadhi toka 2016 uncle Magu alipoanza kuzingua. Basi Maza atawale tu milele
 
Nyie si ndio wale hamjielewi kama sigara kali aka oya oya ,mnawashwa mbele na nyuma na akili zenu za kushikiwa.
Asifuye mvua imemnyeshea naona inajipigia promo , bahati mbaya huu ni mwezi mtukufu watu hawana time na hiyo biashara yako.
 
ukitukana na kukejeli unapata nafuu sana mkuu? mambo mengine usipoyaelewa unayaacha tu yapite na muda ambao unautumia kuyaangalia unautumia kwa kazi nyingine!
Wewe ni mushuti kwenu ni rwanda
 
Nafikri mzigo watakuwa wameurudisha kwa muhusika, mmiliki maana sidhani kama wana opotion nyingine??
 
30 Apr 2021
KAMISHNA JENERALI WA MAMLAKA YA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA NCHINI BW. GERALD MUSABILA KUSAYA AMESEMA KUWA WATU SABA RAIA WA IRANI WAMEKAMATWA KWA KOSA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA MKOANI LINDI.

Source : Fullshangwe tv
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom