Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Hii ni serikali ya awamu ya sita bila uchaguzi. Mambo ni ruksa. Ukiona hadi Jakaya anahudhuria hotuba ya mama bungeni ujue mambo ni moto. Hakuwahi kuhudhuria hotuba za Magu zote.

Jiulize kulikoni.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Acha unafiki hutuba za magu zote ngapi wakati magu katawala muhula mmoja tu.Muhula wa kwanza kuhutubia bunge Kikwete alikuwepo tena akashangiliwa sana pale Spika aliposema tumekumiss mzee.Mkuu achana na ushabiki mandazi ushakuwa mtu mzima mbona watu wanakuheshimu afu unakuwa na akili za boda boda.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Wadau huu mzigo mkubwa mnoooooo mnooooooooo
Nashangaa kwanini wameusafirisha ki local kiasi hicho yaani tani 2 za heroine au cocaine usafirishe kindezi hivyo?

Hao jamaa wanaujasiri na roho ngumu sana aisee yaani wamerisk maisha yao dadeq zao hao wapakistan!

Anyway tani mbili ni dharau kwa nchi yetu hao pimbi hao!
Mizgo mkubwa km ivi hauwez safirishwa kwa ndege.

NJIA waloitumia Ni nzur zaidi maana Ni ngum kuwastukia.

Na uko baharini kwny majahaz hakuna blocks za ukaguz.
 
Acha unafiki hutuba za magu zote ngapi wakati magu katawala muhula mmoja tu.Muhula wa kwanza kuhutubia bunge Kikwete alikuwepo tena akashangiliwa sana pale Spika aliposema tumekumiss mzee.Mkuu achana na ushabiki mandazi ushakuwa mtu mzima mbona watu wanakuheshimu afu unakuwa na akili za boda boda.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Jinyonge, maana naona povu linazidi la fomu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Mbona mbunge yule wa CCM hakupotea mkuu na ubunge akabaki nao? Na vipi mdogo wake Rostam hata kesi haikuwahi kupelekwa mahakamani? 😂😂
 
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Christopher Ngubiagai, amesema wamekamata Jahazi lenye zaidi ya Tani moja ya dawa za kulevya aina ya heroin katika eneo la Pwani ya Kilwa Kisiwani Wilayani humo.

“Raia wa Kigeni wasiopungua 10 walikua ndani ya Jahazi na mpaka sasa bado hajafahamika ni Nchi gani wanayotoka, wanaendelea kuhojiwa”———Ngubiagai

“Niwaambie tu Kilwa sio sehemu sahihi ya kupitisha vitu vya magendo kwakuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama imejipanga vizuri”———Ngubiagai
#MillardAyoUPDATES
 
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Inaonesha hawa jamaa wametoka mashariki ya mbali na jahazi kwakuwa muundo wa jahazi si sawa na makahazi ya hapa kwetu: hawa ni jasiri sana. Inaonesha pia kuna mtu kaharibu mpango wao ama walisukimwa na upepo wakajikuta wamaingia kwenye maji yetu
 
Inaonesha hawa jamaa wametoka mashariki ya mbali na jahazi kwakuwa muundo wa jahazi si sawa na makahazi ya hapa kwetu: hawa ni jasiri sana. Inaonesha pia kuna mtu kaharibu mpango wao ama walisukimwa na upepo wakajikuta wamaingia kwenye maji yetu
Hata kwetu jahazi kama hizo zipo mbona
Kisiju zipo,jahazi zinafungwa engine zinaenda kuvua mbali

Ova
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Wazee wa kulazamisha Legacy.
 
Hawa wanakujaga kwa gia za uvuvi
Wakifika umbali fulani huwa wanawapa
Watu wao signal wawafate walipo, na kufaulisha mzigo naona hawa jamaa sasa walitaka kuja mpaka nchi kavu washushe
Dah
Big up sana kwa jeshi letu la navy na police

Ova
Hapo sawaa maana pale kilwa masoko jamaa wapo mda wote na siku zote na meli yao ya kisasa kabsa na bodi ,sio rahc kupenya labda kama wangetoa rushwa ...ila mjeshi kula rushwa duuh Mara chache au hakuna kabsa
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Hivi hili linalozungumziwa hivi majuzi, au ilikuwa "trap"!? Au, ni....au...!? Mbona au zinakuwa nyingi, nini tena!?
 
Hawa wanakujaga kwa gia za uvuvi
Wakifika umbali fulani huwa wanawapa
Watu wao signal wawafate walipo, na kufaulisha mzigo naona hawa jamaa sasa walitaka kuja mpaka nchi kavu washushe
Dah
Big up sana kwa jeshi letu la navy na police

Ova
Hivi mzigo kama huu ukishakamtwa hatua gani ufuata juu ya mzigo wenyewe!?
 
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Dah! mara hii!! wanataka kuua kabisa kizazi chetu hawa!!
 
Back
Top Bottom