rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,163
- 20,095
Wasingetangaza kwanza, wangewaminya wqtaje mtandao wao
Hao ndio agents wenyewe.Wamejaa hapa Mwanza wanauza majora ya vitambaa vya nguo!
Yaani hao kabla ya kutoa maelezo nikuminya kwanza p*mbu mpaka zipasuke
Hao ndio agents wenyewe.
Kwa hio kama wasingepatikana na kukamatwa na taarifa kutoka ndio ingemaanisha tuna raisi. Who knows kama huu haukuwa mtindo wa jiwe na kokoto zake? hakika ufisadi mkubwa kuliko kipindi chochote umetokea kwenye awamu yake mnatueleza nini kuhusu hili?Tuliokua tunasema now hatuna raisi Naona mnaanza kutuelewa tu taratibu ... rest in power magufuli
Sio kwamba aliifanya hiyo biashara iwe ya wachache wale tu walio ndani ya cycle yake?Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Aliyekwambia miaka 5 nyuma hakukuwa na hii biashara alikudanganya. Biashara ilibaki ya wachache.Nakuona unavyojaribu kuhamisha magoli baada ya kupigwa tatu bila
Sana hawaishiwi mbinummmh hatari sana mkuu ila wafanyabiashara ya unga wana mbinu na akili sana kila siku wanabuni njia mpya za uingizaji nauuzaji ni hatari!
Ehh huko kwa masadali kuna watu wana mpk tani 20 zipo ndaniKiwango kama hiki cha madawa hakiwezi kupatikana kwa urahisi hata kwa wauza unga sugu, mpaka kuwe na mkono wa serikali fulani-fulani na taasisi kubwa. Watu walioweza kuuza madawa kwa viwango vya kuanzia tani ni aida ya Pablo Escobar na El-Chapo, ambao wao kupata tani 7 hadi 15 kwa siku ilikuwa ni kawaida tu. Inakuja kufahamika mwishoni kwamba wao hawakuwa wanafanya hivi kupata faida au utajiri, bali kulikuwa na ajenda kubwa sana wanaitekeleza.
Uelewa wangu wa kawaida tu, unanikumbuka kwamba kuna uhusiano mkubwa sana baina ya biashara ya MADAWA YA KULEVYA, UTAKATISHAJI PESA na UGAIDI. Pia, ili fedha zisionekane kirahisi basi taasisi ambazo zitatumika kufanya utakatishaji zitakuwa ni zile kubwa sana. Kuna mambo ukiyafikiria yanaogopesha sana.....
Hivyo unfikiri maandalizi ya mzigo mkubwa kama huo yameanza baada ya MWENDAZAKE kwendazake?Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Utawala wa magu mwenyeww kuna watu walikuwa wanaingiza wengine wanadakwa,wengine wanapenyatunarudi kule kule
Una akili sana mkuu, BIG UP....mimi nimeenda mbali zaidi, huu mzigo ni wa CIA kwa akili zangu za kutizamia kwenye muvi!Ukionganisha nukta za promo ya CNN na kimbunga kupiga pwani ukanda wa Tanzania na mzigo wa tani mbili za heroin hata kama hujui kusoma unaiona picha ya kilichokuwa kinaendelea.
Ndio ilikuwa inawapoteza kisha inataifisha mzigo na kwenda kuuza wao, Serikali ya Magufuli ilikuwa ni genge l wahalifuWalikua hawakamatwi ndio, walikua wanapotezwa.
Ndio ilikuwa inawapoteza kisha inataifisha mzigo na kwenda kuuza wao, Serikali ya Magufuli ilikuwa ni genge la wahalifuWalikua hawakamatwi ila wanawekwa kwenye viroba
Una kiwango gani cha elimu?Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
we nenda kwenye habari zako za umbea, hizi mada nzito kwako hutaelewaWewe Naona utakua umekuja mjin juzi, kaa kwa kutulia