Kilosa: Wananchi wazimia baada ya kupewa siku 30 kubomoa nyumba zao kupisha ujenzi wa reli

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Hofu kubwa imetanda kwa wakazi wa kijiji cha Mkata Stesheni wilayani Kilosa mkoani Morogoro huku baadhi yao wakipoteza fahamu baada ya kupewa muda wa siku 30 kuhama katika kijiji hicho kupisha upanuzi wa reli ya kati ambapo zaidi ya wananchi 1,630 wanatakiwa kuondoka bila kuonyeshwa maeneo mengine ya kuweka makazi ya kudumu.
 
Kaka dunia ya wapi iko hivyo? Otherwise walivamia maeneo yasiyo ruhusiwa kujengwa makazi maana wabongo tuna kasumba pia ya kudhalau hili swala tena sana. Ila kama ni eneo lao kihalali lazima walipwe/compersate
 
Back
Top Bottom