Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Kilosa, Morogoro: Mwanamke mmoja na Mtoto wake wamefariki dunia baada ya kukanyaga waya wa umeme ulikuwa umeanguka chini baada ya kukatika kutoka katika nguzo
Waya huo ulikatika kutokana na mfua kubwa zilizokuwa zikinyesha.
Tukio hili la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la Kata ya Kikwalaza
Waya huo ulikatika kutokana na mfua kubwa zilizokuwa zikinyesha.
Tukio hili la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la Kata ya Kikwalaza