Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Wewe unajua nini? Mpuuzi tu.Kweli, asiyejua maana haambiwi maana. Huo ndio mwisho wa kufikiri kwako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua nini? Mpuuzi tu.Kweli, asiyejua maana haambiwi maana. Huo ndio mwisho wa kufikiri kwako?
Kwan maalim seif baada ya kususa kitu gan kimetokea mkuu....siku zote shetan ana nguvu ingia uringoni ukimsubiri pastor
Hilo bomu limeangukia puani kwake siyo uraiani raia wamelikwepa hilo bomu. Aisee nimemuona alivyosikia aibu hadi akakosa la kusemaInavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
View attachment 1492554
Naunga mkono hojabila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.
FACT.
kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.
Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!
Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Hiyo ni kweli kabisa. Kama kuna Mbunge wa Chadema au ACT atakayerudi mjengoni basi itakuwa ni kwa hisani au maelekezo toka juu .... ila Magufuli ajiandae na kesi za kumwaga za mapingamizi ya uchaguzi ambazo zitalicost taifa kwa kutumia pesa bila sababu .............!!bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.
FACT.
kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.
Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!
Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Suleiman kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu alisema: mjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake vinginevyo atajiona mwerevu. Ningepotezee lakini mchango wako ulikuwa na ulimbo ungewapotosha wajinga ( misinformation).Matusi hayasaidii chochote mkuu, Kwanza wewe unajitambulisha kama msomi na mwelewa unayetoa michango Bora inayojenga, na Bahati Nzuri unasema umenipuuza, Kwa nini Unani quote sasa, nipotezee Mzee,
Nilisema tangu mwanzo kwamba wewe hamna kitu. Umethibitisha bila kubakisha tashwishwi yoyote kuwa wewe hamnazo kabisa!Wewe unajua nini? Mpuuzi tu.
So what?Nilisema tangu mwanzo kwamba wewe hamna kitu. Umethibitisha bila kubakisha tashwishwi yoyote kuwa wewe hamnazo kabisa!
So you're nicompoon!So what?
So what ?So you're nicompoon!
Suleiman kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu alisema: mjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake vinginevyo atajiona mwerevu. Ningepotezee lakini mchango wako ulikuwa na ulimbo ungewapotosha wajinga ( misinformation).
So you're nicompoon!
Nilisema tangu mwanzo kwamba wewe hamna kitu. Umethibitisha bila kubakisha tashwishwi yoyote kuwa wewe hamnazo kabisa!
Nimepoteza muda wangu. Mpumbavu hata umtwage vipi kwa mchi kinuni atoka tu bado mpumbavu. Samahani Paul Sylly!Msomi na mtoa hoja jadidi uwe wewe? Unajihami Kwa kutumia matusi kuficha ujinga wako siyo? Jinga kabisa wewe! Pwaaa!!! Nimekusamehe sababu nishakujua ulivyo, tukana uwezavyo uwanja ni wako!!!
Kwa wananchi ambao hawakuwahi kuonja mkono wa mkoloni ni vigumu, waoga.najaribu kuwaza Mara paaaaaaaah wananchi wameigomea ccm polisi wameshindwa kuzuia Nguvu ya uma afu mh atakavyo kuwa mpole
Kwa nini Ccm isishinde kwa zaidi ya 60% wakati imetekeleza ilani yake ya uchaguzi kwa zaidi ya 90%? Huu ni mwaka Ccm itapata ushindi wa kishindo.
Kamuulize Laurent Gbagbo ....dunia siyo yake atapita kama madiktekta wenzakebila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.
FACT.
kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.
Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!
Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Anafahamu sana ila alitaka kufikisha ujumbe live.Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.
Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).
Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.
By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.
Tukutane #BagonzaWhite77.
View attachment 1492554
Lakini najua anafanya kazi nzuri! Hahahaaa,Sasa yule mwarabu na Chadema wana tofauti gani?
Mbona kauliza mbunge wa hapa ni chama gani?Usidanganyike wewe mkuu.
Watu wako makini sana, naniatamdanganya mkuu na asijue sorroundings zake na hierachy ya uongozi mahala alipo.
Hilo haliwezekani.