Kilosa leo: Hii ni sawa na kusema bomu lililolengwa kwa adui limeangukia uraiani kwa mrusha bomu!

Kwan maalim seif baada ya kususa kitu gan kimetokea mkuu....siku zote shetan ana nguvu ingia uringoni ukimsubiri pastor

Safari hii watakwenda kushtakia kwa Baba. Tuone kama mtu atachomoka. Zilizopita zile za nyuma ni mvua za rasha rasha, wingu kuu ndio kwanza linaanza kutanda.
 
Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.

Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).

Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.

By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.

Tukutane #BagonzaWhite77.

View attachment 1492554
Hilo bomu limeangukia puani kwake siyo uraiani raia wamelikwepa hilo bomu. Aisee nimemuona alivyosikia aibu hadi akakosa la kusema
 
bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.

FACT.

kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!

Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Naunga mkono hoja
 
bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.

FACT.

kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!

Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Hiyo ni kweli kabisa. Kama kuna Mbunge wa Chadema au ACT atakayerudi mjengoni basi itakuwa ni kwa hisani au maelekezo toka juu .... ila Magufuli ajiandae na kesi za kumwaga za mapingamizi ya uchaguzi ambazo zitalicost taifa kwa kutumia pesa bila sababu .............!!
 
Matusi hayasaidii chochote mkuu, Kwanza wewe unajitambulisha kama msomi na mwelewa unayetoa michango Bora inayojenga, na Bahati Nzuri unasema umenipuuza, Kwa nini Unani quote sasa, nipotezee Mzee,
Suleiman kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu alisema: mjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake vinginevyo atajiona mwerevu. Ningepotezee lakini mchango wako ulikuwa na ulimbo ungewapotosha wajinga ( misinformation).
 
Suleiman kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu alisema: mjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake vinginevyo atajiona mwerevu. Ningepotezee lakini mchango wako ulikuwa na ulimbo ungewapotosha wajinga ( misinformation).
So you're nicompoon!
Nilisema tangu mwanzo kwamba wewe hamna kitu. Umethibitisha bila kubakisha tashwishwi yoyote kuwa wewe hamnazo kabisa!

Msomi na mtoa hoja jadidi uwe wewe? Unajihami Kwa kutumia matusi kuficha ujinga wako siyo? Jinga kabisa wewe! Pwaaa!!! Nimekusamehe sababu nishakujua ulivyo, tukana uwezavyo uwanja ni wako!!!
 
Msomi na mtoa hoja jadidi uwe wewe? Unajihami Kwa kutumia matusi kuficha ujinga wako siyo? Jinga kabisa wewe! Pwaaa!!! Nimekusamehe sababu nishakujua ulivyo, tukana uwezavyo uwanja ni wako!!!
Nimepoteza muda wangu. Mpumbavu hata umtwage vipi kwa mchi kinuni atoka tu bado mpumbavu. Samahani Paul Sylly!
 
Kwa nini Ccm isishinde kwa zaidi ya 60% wakati imetekeleza ilani yake ya uchaguzi kwa zaidi ya 90%? Huu ni mwaka Ccm itapata ushindi wa kishindo.

CCM itapata ushindi si kwa kutekeleza ilani yake bali kwa sababu itakuwa ni uzembe kwa incumbent anayeamirisha majeshi, tume na mifumo yote kushindwa uchaguzi.

Wananchi wengi wana umasikini mwingi sasa hivi kuliko July 2015!! Hili sio swala la kutekeleza ilani - mwengine anagombea hasa kwa sababu shughuli alizoanza hazijakamilika na haoni atakayezikamilisha - hiyo ilani iliyokamilishwa ni ipi??
 
bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.

FACT.

kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!

Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Kamuulize Laurent Gbagbo ....dunia siyo yake atapita kama madiktekta wenzake
 
Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.

Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).

Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.

By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.

Tukutane #BagonzaWhite77.

View attachment 1492554
Anafahamu sana ila alitaka kufikisha ujumbe live.
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom