Kilosa leo: Hii ni sawa na kusema bomu lililolengwa kwa adui limeangukia uraiani kwa mrusha bomu!

Nimecheka sana yaani mshikaji akabidi abadili gia angani tena juu kwa juu
Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.

Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).

Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.

By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.

Tukutane #BagonzaWhite77.

View attachment 1492554
 
Hiyo ndiyo safi sana wacha wafanye hivyo maana mwanzo wa Hesabu ni moja
bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.

FACT.

kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!

Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
 
.
Nashangaa wapinzani wa kweli kujiandaa kushiriki uchaguzi ambao ni dhahiri shairi ccm haiko tayari kukubali kupoteza. Ilipaswa kelele iwe ni tume huru ya uchaguzi, mpaka wanaojiandaa kuchezea uchaguzi wajue hali ni mbaya.
Tatizo lako ndio hilo kukariri mambo yasiyo ya msingi. Kama tume sio huru mbona mlikuwa mnapata wabunge?
Mbona kila chama kinaweka wakala na anajaza fomu za matokeo na matokeo yanabandikwa nje kila kituo na kila hatua husika? Na mawakala wanasindikiza hayo maboksi ya kura?
Acha kuwa na visingizio ambavyo havina kichwa wala miguuu.
 
Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.

Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).

Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.

By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.

Tukutane #BagonzaWhite77.

View attachment 1492554
Kampen zimeanza kumbe?
 
bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.

FACT.

kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!

Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Lakini pia ni ukweli, siyo rahisi DED akubali kuuawa na wananchi kwa kuogopa kufukuzwa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Tatizo lako ndio hilo kukariri mambo yasiyo ya msingi. Kama tume sio huru mbona mlikuwa mnapata wabunge?
Mbona kila chama kinaweka wakala na anajaza fomu za matokeo na matokeo yanabandikwa nje kila kituo na kila hatua husika? Na mawakala wanasindikiza hayo maboksi ya kura?
Acha kuwa na visingizio ambavyo havina kichwa wala miguuu.

Kwa taarifa yako hata jangwani huwa mvua inanyesha japo mara chache. Tulikuwa tunatapa wabunge wakati demokrasia ikiwa na afadhali, kabla ya awamu hii kuingia madarakani. Hata hivyo bado malalamiko yalikuwepo kuwa tume si huru.

Baada ya kuingia awamu hii udhaifu wa tume umekuwa wazi sana. Nimeona kwa macho yangu mawakala wa upinzani wakigomewa kuapishwa, na kupata usumbufu wa wazi. Nimeona mawakala wakilazimishwa kusaini fomu za matokeo zisizo halali, tena kwa uratibu wa jeshi la polisi. Wakala gani anasindikiza matokeo, au unadhani wananchi hawaoni kinachotokea? Narudia tena, sina chembe ya shaka ya ninachosema. Tume hii ya uchaguzi sio huru na imejigeuza kuwa mawakala wa kunajisi uchaguzi, na ni mwendawazimu tu atakubali kushiriki uchaguzi chini ya tume hii.
 
Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.

Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).

Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.

By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.

Tukutane #BagonzaWhite77.

View attachment 1492554
Hapo ndipo tukisikia "... inategemea nimeamkaje!!"
Kampeni zimeshaanza...
 
Inavyoonyesha ni kuwa huyu kiongozi mkuu for some reason alikuwa misled (or wrongly selfled) kuwa mbunge wa Kilosa ni wa kutoka Chadema.

Kuna uwezekano mkubwa kachanganya madesa - akidhani ni jimbo la Mikumi (la Chadema) ambalo lipo in proximity with lile la Kilosa (la chama chetu CCM).

Bomu likaangukia uraiani - sasa kazi ikawa awaokoe vipi wahanga. Ikabidi ipigwe "CCM oyee" ya nguvu na ahadi kutolewa papo kwa papo.

By the way sikujua kampeni zimeanza. Na pia nilikuwa sijui kama kiongozi wa nchi akiwa kwenye ziara ya kiserekali anaruhusiwa kisheria kushabikia chama chake. Hii ipo Tanzania tu.

Tukutane #BagonzaWhite77.

View attachment 1492554

Kampeni zilianza toka 2016. Sasa wanamalizia malizia tu!
 
Kwa taarifa yako hata jangwani huwa mvua inanyesha japo mara chache. Tulikuwa tunatapa wabunge wakati demokrasia ikiwa na afadhali, kabla ya awamu hii kuingia madarakani. Hata hivyo bado malalamiko yalikuwepo kuwa tume si huru.

Baada ya kuingia awamu hii udhaifu wa tume umekuwa wazi sana. Nimeona kwa macho yangu mawakala wa upinzani wakigomewa kuapishwa, na kupata usumbufu wa wazi. Nimeona mawakala wakilazimishwa kusaini fomu za matokeo zisizo halali, tena kwa uratibu wa jeshi la polisi. Wakala gani anasindikiza matokeo, au unadhani wananchi hawaoni kinachotokea? Narudia tena, sina chembe ya shaka ya ninachosema. Tume hii ya uchaguzi sio huru na imejigeuza kuwa mawakala wa kunajisi uchaguzi, na ni mwendawazimu tu atakubali kushiriki uchaguzi chini ya tume hii.
Mnapeleka mawakala ambao hata barua ya utambulisho toka mwenyekiti wa mtaa hawana. Hapo mnatarajia nini? Habari ya tume kunajisi matokeo ni uongo maama taratibu na sheria huwa zinafuatwa. Jambo ambalo gumu kwako ni kukubali kuwa Ccm inakubalika kwa wananchi maana inatekeleza ilani yake inavyotakiwa.
 
walimuua binti yetu Aquiline masikini, lakini hakuna mwananchi hata mmoja aliyesema fyoko!

Woga umekuwa utamaduni wa ‘wadanganyika’ wa Tanzania, ambo ndo walio wengi. Hata hivyo, maumivu yakiendelea kwa muda mrefu, uvumilivu na woga hatima vitafikia mwisho na hakuna askari au risasi zitakazotosha kudhibiti nguvu ya umma uliochoka!
 
bila tume huru, hakuna hata mgombea ubunge mmoja atakayeshinda kutoka Chadema wala ACT. huo ndiyo ukweli. watapita mapandikizi tu wa NCCR na CUF.

FACT.

kwamba eti vyama vitalinda kura baada ya polling ni kujidanganya. hakuna DED atakayekuwa tayari kuona kibarua chake kinaota nyasi - never!
tukumbuke kilichotokea uchaguzi wa marudio Kinondoni.

Baba Askofu Bagonza kaona mbali.
tukutane #BagonzaWhite77!

Zitto John Mnyika CHADEMA Chadema Diaspora ACT Wazalendo
Upo sahihi sana mkuu
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom