Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Usiku wa kuamkia leo kumetokea mapigano makali kati ya ccm na cdm katika kata ya Masanze katika kitongoji cha Mapekenya na kusababisha kuumizwa na kulazwa kwa wafuasi wa CHADEMA katika hospitali ya wilaya ya Kilosa.
Hali hiyo ilianza mara baada ya CDM kuwafumania wakigawa rushwa na kuchukua kadi za kupigia kura kwa kuzinunua na kuwatia ndani hao watuhumiwa. Ndipo simu zikapigwa mjini kilosa vijana wa green guard wasiopungua 20 na kuwamwaga eneo la tukio na kuwashambulia wafuasi hao wa chadema waliokuwa wamewakamata ccm kwa rushwa.
Hii imekuja ikiwa kuna tarajiwa kuwa na uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo hapo kesho
Hali hiyo ilianza mara baada ya CDM kuwafumania wakigawa rushwa na kuchukua kadi za kupigia kura kwa kuzinunua na kuwatia ndani hao watuhumiwa. Ndipo simu zikapigwa mjini kilosa vijana wa green guard wasiopungua 20 na kuwamwaga eneo la tukio na kuwashambulia wafuasi hao wa chadema waliokuwa wamewakamata ccm kwa rushwa.
Hii imekuja ikiwa kuna tarajiwa kuwa na uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo hapo kesho