dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,506
- 2,053
Guyz mm nna ndugu yangu ana kiloids (uvmbe unaosababishwa na kujikata na vitu vyenye ncha kali) tatzo ni kwamba alishawah kwenda kwa wataalam wakamshaur waikate then kuna sindano jna silikumbuki wamchome itazuia isirud bt kikaota kikawa kikubwa zaid,,,akaenda kkoo kuna wakorea ambao wamespecialize na hayo mambo walimshaur hvo hvo walipokikakat tena wakamchoma hio sindano kikaanza tena kurud tena kikubwa zaidi saa hv amekata tamaa naomben ushaur kama kuna namna yyte ya kukitibu