Kiloids (Uvimbe unaosababishwa na kukatwa na vitu vya ncha kali)

dedon

JF-Expert Member
Jul 6, 2015
1,506
2,053
Guyz mm nna ndugu yangu ana kiloids (uvmbe unaosababishwa na kujikata na vitu vyenye ncha kali) tatzo ni kwamba alishawah kwenda kwa wataalam wakamshaur waikate then kuna sindano jna silikumbuki wamchome itazuia isirud bt kikaota kikawa kikubwa zaid,,,akaenda kkoo kuna wakorea ambao wamespecialize na hayo mambo walimshaur hvo hvo walipokikakat tena wakamchoma hio sindano kikaanza tena kurud tena kikubwa zaidi saa hv amekata tamaa naomben ushaur kama kuna namna yyte ya kukitibu
 
Guyz mm nna ndugu yangu ana kiloids (uvmbe unaosababishwa na kujikata na vitu vyenye ncha kali) tatzo ni kwamba alishawah kwenda kwa wataalam wakamshaur waikate then kuna sindano jna silikumbuki wamchome itazuia isirud bt kikaota kikawa kikubwa zaid,,,akaenda kkoo kuna wakorea ambao wamespecialize na hayo mambo walimshaur hvo hvo walipokikakat tena wakamchoma hio sindano kikaanza tena kurud tena kikubwa zaidi saa hv amekata tamaa naomben ushaur kama kuna namna yyte ya kukitibu

Mpeleke Muhimbili pana ma dr wazuri na vipimo vya uhakika usijezalisha kansa kwa kubahatisha tiba mjomba.
 
Matibabu ya keloids ni magumu.Keloids zinapendwa kurudi baada ya kukatwa.Kuna wengine hizo shindano za steroids zinawasaidia.Kuna wengine wanahitaji mionzi baada ya kukatwa.Nakushauri uende Taasisi ya saratani Ocean Road.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom