Kilio kwa waajiriwa wote mwakani kutoka TRA

Mao ze dong

JF-Expert Member
Aug 28, 2012
941
1,006
Nadhani serekali imeshatangaza Kuwa hakuna mtu atalipwa mshahara bila kuwa na TIN number .

Tatizo ni kwa watumishi ambao ulikua na TIN number ya biashara na ulifunga biashara na hukuenda TRA kuifunga iyo TIN kuwa biashara huendelei nayo. TRA wanapiga mahesabu ya pesa yao kwa miaka yote ambayo hukulipa na ongezeko la riba juu. Pesa yote wanajua wanakukata pindi mwajiri anapokulipa had watakapo maliza.

Wengi wamekuta TIN zinadaiwa mamilioni na huwezi kubadilisha iwe non business TIN hadi ulipe pesa yote. Mwajiri hatoweza kukulipa mshahara hadi umpe TIN na pia huwez kuwa na TIN zaidi ya moja.

Ubaya ni kuwa pia TIN number yako ina link had na account yako ya bank so hakuna namna yakukwepa.

MAKATO NAYOYAONA MWAKANI
1. PAYE
2. NSSF
3.LOAN BOARD.
4.TIN PAYMENTS.
5. NHIF
IMG_20201120_203932_702.jpg
 
Mkuu acha kupotosha au kama hujui uliza uelimishwe. Ofisini kwangu ( Private sector) tumeanza kutumia TIN tangu mwezi wa 8 mwaka huu baada tu ya TRA kutoa mwongozo. Hiyo TIN hakuna makato yanayoongezwa kwenye mshahara wako isipokua ile pesa unayokatwa kodi ( PAYE) ndio sasa italipwa kupitia TIN yako na sio manually kama inavyolipwa sasahivi. Hii imefanyika ili ku control mapato yanayopatikana kupitia kodi za wafanyakazi. So usitishe watu Mkuu.
 
Mkuu acha kupotosha au kama hujui uliza uelimishwe. Ofisini kwangu ( Private sector) tumeanza kutumia TIN tangu mwezi wa 8 mwaka huu baada tu ya TRA kutoa mwongozo. Hiyo TIN hakuna makato yanayoongezwa kwenye mshahara wako isipokua ile pesa unayokatwa kodi ( PAYE) ndio sasa italipwa kupitia TIN yako na sio manually kama inavyolipwa sasahivi. Hii imefanyika ili ku control mapato yanayopatikana kupitia kodi za wafanyakazi. So usitishe watu Mkuu.
Mimi pia wananichukiza wanaolichukulia hili suala kwa namna mbaya. Sioni shida maana PAYE inakatwa hata kabla ya serikali kutaka matumizi ya TIN. Wanachokifanya serikali ni kuhakikisha PAYE zote zinapelekwa TRA
 
Mkuu acha kupotosha au kama hujui uliza uelimishwe. Ofisini kwangu ( Private sector) tumeanza kutumia TIN tangu mwezi wa 8 mwaka huu baada tu ya TRA kutoa mwongozo. Hiyo TIN hakuna makato yanayoongezwa kwenye mshahara wako isipokua ile pesa unayokatwa kodi ( PAYE) ndio sasa italipwa kupitia TIN yako na sio manually kama inavyolipwa sasahivi. Hii imefanyika ili ku control mapato yanayopatikana kupitia kodi za wafanyakazi. So usitishe watu Mkuu.
Wewe ndo hujaelewa kilichoandikwa. Makato yatakua makubwa kwa mfanyakazi ambaye alikua na biashara na akaifunga iyo biashara na hakuweza kuandika barua kwa TRA ya kufunga iyo TIN . Kwasasa analizimika kutumia TIN iyo kwa mwajiri na TRA ndipo watakapoona malimbikizo ya kodi na kuanza kukukata kila unapolipwa
 
Ila kuna namna serikali inaweza kupoteza mapato kwenye hilo...

Kwa wale wasiokua na TIN wanaweza fanyishwa kazi bila mikataba...

Hii ina maana kwamba hakuna PAYE wala NSSF kwenda serikalini... Hili jambo linahitaji busara na subira...



Cc: mahondaw
Yah ni kweli mkuu Mimi pia naona hivyo.

Leo nimeona walau mistari kadhaa katika comment yako 😁
 
Mimi pia wananichukiza wanaolichukulia hili suala kwa namna mbaya. Sioni shida maana PAYE inakatwa hata kabla ya serikali kutaka matumizi ya TIN. Wanachokifanya serikali ni kuhakikisha PAYE zote zinapelekwa TRA
Hata darasani mlikua hamsomi vitu mkaelewa. Sidhani kama kuna ulicho elewa kwenye andiko hilo
 
Ila kuna namna serikali inaweza kupoteza mapato kwenye hilo...

Kwa wale wasiokua na TIN wanaweza fanyishwa kazi bila mikataba...

Hii ina maana kwamba hakuna PAYE wala NSSF kwenda serikalini... Hili jambo linahitaji busara na subira...



Cc: mahondaw
Sidhani mkuu maana mishahara lazma iwe na payroll na mwajiri hawezi kujiingiza kwenye mgogoro wakupigwa fine kubwa just kwasababu wewe unayeajiriwa huna TIN au una matatizo na TRA. Mwajiri lazma mshahara wako ahakikishe umekatwa kodi na kwasasa ili ukatwe kodi ni lazma apeleke TIN number yako
 
Back
Top Bottom