Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,006
Nadhani serekali imeshatangaza Kuwa hakuna mtu atalipwa mshahara bila kuwa na TIN number .
Tatizo ni kwa watumishi ambao ulikua na TIN number ya biashara na ulifunga biashara na hukuenda TRA kuifunga iyo TIN kuwa biashara huendelei nayo. TRA wanapiga mahesabu ya pesa yao kwa miaka yote ambayo hukulipa na ongezeko la riba juu. Pesa yote wanajua wanakukata pindi mwajiri anapokulipa had watakapo maliza.
Wengi wamekuta TIN zinadaiwa mamilioni na huwezi kubadilisha iwe non business TIN hadi ulipe pesa yote. Mwajiri hatoweza kukulipa mshahara hadi umpe TIN na pia huwez kuwa na TIN zaidi ya moja.
Ubaya ni kuwa pia TIN number yako ina link had na account yako ya bank so hakuna namna yakukwepa.
MAKATO NAYOYAONA MWAKANI
1. PAYE
2. NSSF
3.LOAN BOARD.
4.TIN PAYMENTS.
5. NHIF
Tatizo ni kwa watumishi ambao ulikua na TIN number ya biashara na ulifunga biashara na hukuenda TRA kuifunga iyo TIN kuwa biashara huendelei nayo. TRA wanapiga mahesabu ya pesa yao kwa miaka yote ambayo hukulipa na ongezeko la riba juu. Pesa yote wanajua wanakukata pindi mwajiri anapokulipa had watakapo maliza.
Wengi wamekuta TIN zinadaiwa mamilioni na huwezi kubadilisha iwe non business TIN hadi ulipe pesa yote. Mwajiri hatoweza kukulipa mshahara hadi umpe TIN na pia huwez kuwa na TIN zaidi ya moja.
Ubaya ni kuwa pia TIN number yako ina link had na account yako ya bank so hakuna namna yakukwepa.
MAKATO NAYOYAONA MWAKANI
1. PAYE
2. NSSF
3.LOAN BOARD.
4.TIN PAYMENTS.
5. NHIF