Kilio dhidi ya Spika Ndugai ni kikubwa kuliko kwa DC Sabaya. Je, siku za Ndugai nazo zinahesabika?

Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.

Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
Huyu Ndugai ana jeur na kiburi, sijui anajionaje huyu babu mwathirika
 
Job alituambia kuwa Nyarandu alifukuzwa na CCM sio kujiudhuru kama alivyodai...tukumbushe Kamati kuu ya CCM mlikaa lini kumfukuza Nyarandu au Job alilipotosha Bunge hapa?...Arafu ka akili ya darasa la nne ukifukuzwa chama ukakataa rufaa wewe unaendelea kuwa mwanachama kabla rfaa yako haijasikilizwa? rufaa aunakata kurudishiwa uanacham au kurudishiwa nini?
Nyalandu alijiuvua ubunge na uanachama CCM yeye mwenyewe na kutangaza siku hiyo hiyo kueleza kuwa anahamia CHADEMA.hAKUVULIWA UANACHAMA NA MTU ALIJIVUA MWENYEWE.HAKUNA aliyemfukuza

Huyo hapo msikilize mwenyewe


 
Arafu kwa akili ya darasa la nne ukifukuzwa uanachama ukakata rufaa wewe unaendelea kuwa mwanachama kabla rufaa yako haijasikilizwa?
Tofautisha vyama na mahakama

Vyama vya siasa sio mahakama vinaendeshwa kwa katiba kikao cha kwanza kikikufukuza sio final itakuwa final tu endapo hutakata rufaa katika siku unazohitaji kukata rufaa

Mahakama yennyewe ikikiuhukumu kwenda jela mfano mahakama ya mwanzo inakuhukumu kwenda jela unaenda jela kwanza rufaa utakata ukiwa jela tofauti na katiba za vyama!!!

Chadema msijilinganishe na mahakama nyie sio mahakama ni hadi process ya mwisho ikamilike kama mtu kakata rufaa ndio ahesabiwe si mwanachama!!! Akina Mdee wamekata Rufaa baraza kuu .Iteni baraza kuu mmalize hilo swala,Bazraza kuu likiridhia kufukuzwa kwao uanachama poa tu pelekeni minutes kwa spika na katiba yenu wataondoka tu bila kelele wala nini.Tunawashauri itisheni baraza lenu kuu limalize hayo mambo sababu wamekata rufaa wasikilizwe

Mnakwepa nini kuitisha baraza kuu wakati ni kwa mujibu wa katiba yenu?
 
Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.

Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
Tuwe wavumilivu,mama hawezi kwenda kwa papara
 
Kuna hoja zingine kama GT unapaswa kufikiri kwanza kabla ya kuja kuchapisha humu jamvini,Bunge si mhimili unaojitegemea,Rais anapata wapi mandate ya kumtumbua !!?
Usilazimishe ujinga wako kuwa ujinga wa kila MTU. Ni wapi niliposema kuwa Rais ana mandate ya kumtua spika? Uwezo wa kuharakisha kumtoa spika anao tena mkubwa sana ,ni Siku akiamua tu Siku haiishi
 
Hujui mihimili inafanya vipi kazi, Spika haingiliwi, bado huelewi, hivi nyie watu akili zenu shule mlisoma wapi? Unamlinganisha level ya Spika na DC? Kweli? Ndio maana Chadema imejaa mazezeta wengi sana, Hivi unamjua Spika vizuri na ni mhimili gani?
Mwenyekiti wa chama akimsimamisha kazi,anakua sio mbunge so anakosa sifa ya kuwa spika
 
Nyalandu alijiuvua ubunge na uanachama CCM yeye mwenyewe na kutangaza siku hiyo hiyo kueleza kuwa anahamia CHADEMA.hAKUVULIWA UANACHAMA NA MTU ALIJIVUA MWENYEWE.HAKUNA aliyemfukuza

Huyo hapo msikilize mwenyewe



Sasa umeingia mwenyewe choo cha wanajeshi na umeleta mpaka ushahidi...kwa hiyo kuanzia sasa unakubaliana na mimi kua Job amekuwa akilipotosha Bunge kwa mambo ya muhimu? kama alilitangazia bunge akaisoma kabisa barua ya nyie (CCM) kumfukuza uanachama Nyarandu arafu leo mnamkana ataaminikaje kwa kituko aliochokifanya kwa hawa Covid 19?
 
Tofautisha vyama na mahakama

Vyama vya siasa sio mahakama vinaendeshwa kwa katiba kikao cha kwanza kikikufukuza sio final itakuwa final tu endapo hutakata rufaa katika siku unazohitaji kukata rufaa

Mahakama yennyewe ikikiuhukumu kwenda jela mfano mahakama ya mwanzo inakuhukumu kwenda jela unaenda jela kwanza rufaa utakata ukiwa jela tofauti na katiba za vyama!!!

Chadema msijilinganishe na mahakama nyie sio mahakama ni hadi process ya mwisho ikamilike kama mtu kakata rufaa ndio ahesabiwe si mwanachama!!! Akina Mdee wamekata Rufaa baraza kuu .Iteni baraza kuu mmalize hilo swala,Bazraza kuu likiridhia kufukuzwa kwao uanachama poa tu pelekeni minutes kwa spika na katiba yenu wataondoka tu bila kelele wala nini.Tunawashauri itisheni baraza lenu kuu limalize hayo mambo sababu wamekata rufaa wasikilizwe

Mnakwepa nini kuitisha baraza kuu wakati ni kwa mujibu wa katiba yenu?
Nadhani tumeshakubaliana mie na wewe kuwa Job haaminiki tena kwa kuangalia tu issue ya Nyarandu sasa sioni sababu ya kuendelea kupingana na hoja ya kwamba baada ay Sabaya anayefuatia sasa kuwajibishwa ni Job unless kama unafuta kauli yako ya awali ya kwamba Nyarandu alijiuuzuru na kwamba hakufukuzwa uanachama CCM
 
Sasa umeingia mwenyewe choo cha wanajeshi na umeleta mpaka ushahidi...kwa hiyo kuanzia sasa unakubaliana na mimi kua Job amekuwa akilipotosha Bunge kwa mambo ya muhimu? kama alilitangazia bunge akaisoma kabisa barua ya nyie (CCM) kumfukuza uanachama Nyarandu arafu leo mnamkana ataaminikaje kwa kituko aliochokifanya kwa hawa Covid 19?
Chama na bunge ni vitu viwili tofauti mimi naeleza niliyo na uhakika nayo ya Ndugai mimi sikuyasikia lakini kama kuna barua CHama kiliandika itasomeka hivi Kutokana na Nyalandu kutamka mwenyewe kuwa kahamia CHADEMA chama kimemfukuza uanachama na kinataarifu rasmi bunge kuwa sio mwanachama wa CCM TENA KUANZIA LEO na si mbunge wa CCM tena.Chama kilimtimua kwa yeye kujiunga na CHADEMA ,Barua ya kumtimua ilienda baada ya yeye kuhamia CHADEMA

UKIJIONDOA MWENYEWE CHAMA KINAANDIKA BARUA YA KUKUFUKUZA BASED ON KUJIONDOA MWENYEWE
 
Hujui mihimili inafanya vipi kazi, Spika haingiliwi, bado huelewi, hivi nyie watu akili zenu shule mlisoma wapi? Unamlinganisha level ya Spika na DC? Kweli? Ndio maana Chadema imejaa mazezeta wengi sana, Hivi unamjua Spika vizuri na ni mhimili gani?
Mwendazake alikuwa anaingilia muhimili wa loud speaker!!??
Mh. Rais SSH ni mwenyekiti wa CCM.
Unajua maana yake wewe mjane!!??
 
Chama na bunge ni vitu viwili tofauti mimi naeleza niliyo na uhakika nayo ya Ndugai mimi sikuyasikia lakini kama kuna barua CHama kiliandika itasomeka hivi Kutokana na Nyalandu kutamka mwenyewe kuwa kahamia CHADEMA chama kimemfukuza uanachama na kinataarifu rasmi bunge kuwa sio mwanachama wa CCM TENA KUANZIA LEO na si mbunge wa CCM tena.Chama kilimtimua kwa yeye kujiunga na CHADEMA ,Barua ya kumtimua ilienda baada ya yeye kuhamia CHADEMA

UKIJIONDOA MWENYEWE CHAMA KINAANDIKA BARUA YA KUKUFUKUZA BASED ON KUJIONDOA MWENYEWE
Ahaa kweli nilikuwa sijaua kuwa nabishana na mtu asiyejua taratibu za kufukuzwa uanachama katika chama na taratibu zoote...aisee nimepoteza mda wangu bure...kwa ufupi ukishajiuzuru uanachana ni sawa na kuacha kazi katika kampuni au shirika.Huwezi acha kazi arafu Shirika likakuandikia barua ya kukufukuza..sikuzote kinaangaliwa kilichotangulia....kukusadia kwa hili naomba kukumbushia kuwa ndio maana Lowassa , sumaya na wengine waliphamia Chadema hamkuwaandikia barua za kuawatimua aisee kajifunze taratibu acha kuwa kama Job ndugu yangu
 
Chief unajua lakini mawanda ya spika? Au unadhani kumtoa speaker ni sawa na kumfuta kazi DC?
 
Ahaa kweli nilikuwa sijaua kuwa nabishana na mtu asiyejua taratibu za kufukuzwa uanachama katika chama na taratibu zoote...aisee nimepoteza mda wangu bure...kwa ufupi ukishajiuzuru uanachana ni sawa na kuacha kazi katika kampuni au shirika.Huwezi acha kazi arafu Shirika likakuandikia barua ya kukufukuza.
Nyalandu hakuandika barua CCM ya kuacha uanachama!!! Aliandika tu kwa Spika barua !! Naspika hafanyii kazi barua anayoandika mtu ohh nimejiuzulu ubunge yeye sie aliyemleta ndio maana alipopokea barua ya Nyalandu hakujibu alisubiri barua rasmi toka kwenye chama Usipoandika barua ya kuacha kazi ukashindwa kuonekana kazini utafukuzwa kazi kwa utoro kazini!! Hata kama ukiita vyombo vya habari ukasema mimi nimeacha kazi ukaishia kuongea na vyombo vya habari watakusubiri siku mbili tatu wsiopoona barua yako unaandikiwa barua ya kufukuzwa kazi huwezi sema ohhh kwani hamkuniona vyombo vya habari?

Akina Halima Mdee hawajajiuzulu CHama wala vyeo vyao wao wamekata rufaa tu baraza kuu dunia inasubiri maamuzi ya baraza kuu la chadema.Chama kinachojiita cha kidemokrasia ambacho mtu akikata rufaa hakitaki kutimiza haki ya kidemokrasia ya mkata rufaa kusikilizwa na Baraza kuu? HIyo demokrasia iko wapi? matapeli nyie?
 
Sio rahisi kihivyo ni bunge pekee lenye uwezo wa kumuondoa Spika sio Raisi wala mahakama,nI BUNGE lenyewe kupiga kura za kutokuwa na imani naye
Mkuu nawe ushabiki umekujaa. Jua kuwa hakuna aliye juu ya KATIBA si Bunge, Serikali wala Mahakama. Hivyo mtumishi yeyote anaweza kuachia /kuachishwa utumishi wa wa Umaa kwa mujibu wa Katiba. Aidha tambua kuwa Rais ni sehemu ya Bunge na ni Mwenyekiti wa Chama kinachoisimamia Serikali hivyo ana nguvu kubwa. Kama anataka kabisa kusimamia Katiba, kwa kuhakikisha utawala wa sheria unazingatiwa hata kwa asilimia 80 anauwezo usio na shaka wa kumuondoa Spika madarakani: Njia ya kwaza ni kupitia Bunge. Kuna njia nyingi za kutekeleza hadi bunge kuvunjwa. Pili kwa kutumia Chama, yeye kama Mwenyekiti wa Chama Dola anauwezo wa kuitisha kikao cha na kujadili tuhuma na makandokando haya ya Covid 19 kwa manufaa ya Chama chake na hatimaye mtu kunyang'aywa kadi. Tatu, kupitia MAHAKAMA, anaweza kuitumia Wizara ya Sheria na Katiba kwa kushirikiana na Tanzania Law Society kuhoji mahakamani juu ya suala hili pamoja na matumizi ya fedha. Hakuna kisichowezekana kwa RAIS kwa kutumia KATIBA ya JMT
 
Mkuu nawe ushabiki umekujaa. Jua kuwa hakuna aliye juu ya KATIBA si Bunge, Serikali wala Mahakama. Hivyo mtumishi yeyote anaweza kuachia /kuachishwa utumishi wa wa Umaa kwa mujibu wa Katiba. Aidha tambua kuwa Rais ni sehemu ya Bunge na ni Mwenyekiti wa Chama kinachoisimamia Serikali hivyo ana nguvu kubwa. Kama anataka kabisa kusimamia Katiba, kwa kuhakikisha utawala wa sheria unazingatiwa hata kwa asilimia 80 anauwezo usio na shaka wa kumuondoa Spika madarakani: Njia ya kwaza ni kupitia Bunge. Kuna njia nyingi za kutekeleza hadi bunge kuvunjwa. Pili kwa kutumia Chama, yeye kama Mwenyekiti wa Chama Dola anauwezo wa kuitisha kikao cha na kujadili tuhuma na makandokando haya ya Covid 19 kwa manufaa ya Chama chake na hatimaye mtu kunyang'aywa kadi. Tatu, kupitia MAHAKAMA, anaweza kuitumia Wizara ya Sheria na Katiba kwa kushirikiana na Tanzania Law Society kuhoji mahakamani juu ya suala hili pamoja na matumizi ya fedha. Hakuna kisichowezekana kwa RAIS kwa kutumia KATIBA ya JMT
Simamieni katiba ya CHADEMA bila shuruti itisheni kikao cha Baraza kuu la CHADEMA kama katiba yenu inavyotaka.Msikimbilie ya katiba ya nchi wakati yenu ya katiba yenu yanawashinda.Itisheni kikao cha baraza kuu acheni porojo
 
Back
Top Bottom