Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza tunaomba kuruhusiwa kuuza masaa 24 kwani tunapokua na mauzo mengi TBL/SBL faida inakuwa kubwa kwahiyo makusanyo serikalini yanaongezeka.
Sitaki kusema sana hasa kuhusu wale askari wanaozunguka usiku kudhibiti mabar yafungwe saa sita.
Mkuu sisi wa visiwani ni kunywa mpaka uishiwe!!hamna kamjii nilikachukia kama bunda,saa tano na nusu polisi wanaaza kuzurura kukamata watu
Je nyie mnavyonyanyasa ma barmaid? Mshahara wa 70,000 ukivunja glass unakatwa. Ukiondoka na mteja unakatwa kana kwamba mwenye bar na anachukuliwa na mteja. Kaunta ni mke wa pili wa mwenye bar. Matron chakula ya meneja. Mlaaniwe wenye bar wote. Watoto wa watu wakitoka singida lazima muwaonje nyie kwanza kabla wateja hawajaonja. Mmelaaniwa washenzi nyiekwanza tunaomba kuruhusiwa kuuza masaa 24 kwani tunapokua na mauzo mengi TBL/SBL faida inakuwa kubwa kwahiyo makusanyo serikalini yanaongezeka.
Sitaki kusema sana hasa kuhusu wale askari wanaozunguka usiku kudhibiti mabar yafungwe saa sita.
Tinywe mpaka ti...
Wasambaa msisbae. Jibuni hoja
Je nyie mnavyonyanyasa ma barmaid? Mshahara wa 70,000 ukivunja glass unakatwa. Ukiondoka na mteja unakatwa kana kwamba mwenye bar na anachukuliwa na mteja. Kaunta ni mke wa pili wa mwenye bar. Matron chakula ya meneja. Mlaaniwe wenye bar wote. Watoto wa watu wakitoka singida lazima muwaonje nyie kwanza kabla wateja hawajaonja. Mmelaaniwa washenzi nyie
Wasambaa huwa hatukeshi vilabuni! Ikifika saa tatu usiku huku milimani tunakoishi, vilabu vyote vinakua vimeshafungwa ili kesho tuwahi mashambani kulima ngogwe! Boha, denge, mnazi, kangaa, gongo, nk. hizo ndiyo pombe zetu. Wasambaa ni watu wa kazi.
Je nyie mnavyonyanyasa ma barmaid? Mshahara wa 70,000 ukivunja glass unakatwa. Ukiondoka na mteja unakatwa kana kwamba mwenye bar na anachukuliwa na mteja. Kaunta ni mke wa pili wa mwenye bar. Matron chakula ya meneja. Mlaaniwe wenye bar wote. Watoto wa watu wakitoka singida lazima muwaonje nyie kwanza kabla wateja hawajaonja. Mmelaaniwa washenzi nyie