rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Kwema ndugu,
Leo kilio changu nawapelekea kitengo cha airtel money,,,tunaomba muweke system ambayo itaweza kutofautisha namba ya mteja wa kawaida na namba ya wakala kabla kumuwekea mteja pesa kwenye simu yake ili kuepusha kelele ambazo sio za lazima.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Leo kilio changu nawapelekea kitengo cha airtel money,,,tunaomba muweke system ambayo itaweza kutofautisha namba ya mteja wa kawaida na namba ya wakala kabla kumuwekea mteja pesa kwenye simu yake ili kuepusha kelele ambazo sio za lazima.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app