BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,024
- 4,301
Ukweli mchungu huo.Aisee
Ukweli mchungu huo.Aisee
Sure yaanUkweli mchungu huo.
Kaz wanayoHamtaki masingo maza ila ndoani mnalea watoto si wenu wanaume kazi mnayo....hii laana mpaka mtubu
Kataaa wababaishaji kama wewe, Kataaa wapotoshaji kama wewe , epuka akili za kuambiwa tu kama hizi, kataa waongo kama mzee baba hapa, kataa matapeli wanaoneza ndoa haina sukari kama huyu mwamamba hapa
Kataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Ndoa Ni Wizi
Ndoa Ni Ujambazi
Kataa Ndoa
Kweli mkuuIla muangalia na marafiki waliowazunguka chagueni wisely ,kuna marafiki hawafai is anakuingiza motoni pasipo wewe kujua ,mimi nakumbuka nilikua na marafiki wanapenda sana story za madem,gambe yani huwezi sikua akimuongelea Jesus OR Sir God nikawapunguza, upande huu faida ni nyingi kataa mkumbo
🤜Ndoa bila uasherati inawezekana pinga tamaa zako
Sawa mkuuKATAA NDOA
Kuna siku/ifike pahala muwe mnatuelewa tunaposema NDOA NI UTUMWA,NDOA NI MATESO
Hapo ukienda hospital utaambiwa una
1.presha ya kupanda
2.presha ya kushuka
3.kiharusi
4.sonona
5.msongo wa mawazo
6.Vidonda vya tumbo
7.tumbo la kuharisha
hapo unaweza kumroga mtu,kuua,kukimbia familia,chuki,mizobezo,vibweka yaani kuna kitu kimekukaba mpaka hapaaa..kataa ndoa bado hujachelewa huyo muache aende..
KATAA NDOA,KATAA UTUMWA
Ndio uhalisia wake uliojificha unaonekana dhahiri sasa hvInasikitisha sana hiyo comment aliyotupia mbona kama haiendani na navyomdhaniaga humu jukwaani
Baadhi yao hawanaga Akili kaka, Yani Ndo maana Kuna watu wanawafanyiaga ukatili japo sio sahihi, Ila Kwa Akili kamq Hizo imagine, Anaenda kumuumiza aliyempa heshima na KumuhudumiaMbambikie aliyekukataa, kwanini umbambikie aliyekuthamini katika wote waliokuumiza yeye akaona thamani yako, fikiri umelala na wanaume wangapi waliokuahidi kukuoa lakini walikuacha? Umetoa mimba ngapi za hao waliokudanganya na wakakuacha, lakini yeye akakupenda na kukuthamini na kuona unafaa kuwa mkewe Ili hali wengine walikuacha Kwa maneno ya kejeli, kwanini usimtunzie heshima yeye aliyekufadhili??
Ukitafakari utaona sio ok, umetoka nje ya ndoa, kwasababu umezoea za aina tofauti, basi jizuie usibebe mimba huko, bado haitoshi ukabeba huko basi kuwa mkweli Ili usimuumize mwenzio kah! Yaani Kuna mahali wanawake huwa mnakuwa wajinga, huyo ex alikuwa wako na kama alikuwa na nia angekuoa lakini hakukuoa alikufaidi tu huku wewe ukiingia hasara, katokea aliyekuona wa thamani eti unarudi kwa ex wako! Kah!
Hapana sio kweli, John amekulia mazingira tofauti ana tabia zake na misimamo take, na Khamisi amekulia mazingira tofauti na tabia zake kamwe hawawezi kuwa sawaMwanaume ni mwanaume tu iweje john au khamis
Ni changamotoBaadhi yao hawanaga Akili kaka, Yani Ndo maana Kuna watu wanawafanyiaga ukatili japo sio sahihi, Ila Kwa Akili kamq Hizo imagine, Anaenda kumuumiza aliyempa heshima na Kumuhudumia
Huruma huondoka huchinjwaBaadhi yao hawanaga Akili kaka, Yani Ndo maana Kuna watu wanawafanyiaga ukatili japo sio sahihi, Ila Kwa Akili kamq Hizo imagine, Anaenda kumuumiza aliyempa heshima na Kumuhudumia
Ni kweli aiseeHapana sio kweli, John amekulia mazingira tofauti ana tabia zake na misimamo take, na Khamisi amekulia mazingira tofauti na tabia zake kamwe hawawezi kuwa sawa
Waione Diamond na Hamisa kwenye faili.Inaumiza, yaani inaumiza sana. Wanawake tutulie tu jamani. Dunian hakuna jipya. Mbona kila baya lina majuto, kwanini tusijifunze kupitia hilo?
Yaani mumeo anapambana na kuvuja jasho la meno lakini kumbe anaowapambania wamebakiza kumuua tu. Hatuwezi kushauriana eti tucheat kwa akili, tunashauriana tuache kabisa uasherati ndani ya ndoa.
Kulea mtoto si wako ni maumivu sana.
SijaelewaWaione Diamond na Hamisa kwenye faili.