Na hizi ni pics za daraja lenyewe ambalo linakaribia kusombwa na majiIla bora na Makonda atembelee huku kwetu Goba mtaa wa Muungano,Kuna daraja na barabara ya Mtaa mkandarasi kakimbia site bila kumaliza ujenzi anasema manispaa hawajamlipaView attachment 1494274 huu ndio mradi wenyewe
Anamwaga pesa au anasimamia pesa za wananchi?Huyo ndiye Magufuli, anamwaga mapesa Wananchi tupate huduma bora.
Povu la Nini lote hili! Kwa kosa gani kubwa Hilo! Mchangiaji mbona yupo sawa tu! Ukiwa na utulivu wa akili utanuelewa tu!Anamwaga pesa au anasimamia pesa za wananchi?
Yaan kwa kua kila siku unakuta chakula cha bure mezani unakula hujui kilipotokea basi unafikiri watz wote tunaishi Kama wewe...zile ni pesa zetu mjomba liweke akilini hlo na sio kubugizwa matango pori eti pesa za magufuli!