Igurumuki Masanja
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 783
- 1,613
JUMEME unawafahamu ? Wanauza unit moja shilling ngapi ?Ujiandae kuuziwa unit 1 shilingi 500-1,000 upo tayari?
JUMEME unawafahamu ? Wanauza unit moja shilling ngapi ?Ujiandae kuuziwa unit 1 shilingi 500-1,000 upo tayari?
TANESCO nikilio kikubwa kwa hapa TanzaniaBora hata Tanesco kuna hawa watu idara ya maji wao muda wote wamelala na nyumba zinazidi kuongezeka na hawaoneshi dalili zozote za kupanua huduma yao hasa hawa wa Mwanza ( mwawasa)
Zaidi ya wananchi 210,000/=! Hapo ndipo umeniacha hoi kuwathamanisha watu na pesa!Kila Mahali wananchi wanaendelea kulia bila Msaada wa viongozi kuhusu kukoswa huduma ya Tanesco kama.
1) kukoswa huduma ya surveyor
2) zaidi ya wananchi 210,000/=walio lipia huduma ya kuunganishiwa umeme , Hawajaunganishiwa kwa sababu ya upungufu wa meter,nyaya na watu wakuunganisha umeme.
3) Matatizo ya Luku.
4) Umeme Kukatika.
Hali Hii inakua kwa kasi sana Huku viongozi wa nchi wako kimya.
Je, hili tatizo litaisha lini?
Kila Mahali wananchi wanaendelea kulia bila Msaada wa viongozi kuhusu kukoswa huduma ya Tanesco kama.
1) kukoswa huduma ya surveyor
2) zaidi ya wananchi 210,000walio lipia huduma ya kuunganishiwa umeme , Hawajaunganishiwa kwa sababu ya upungufu wa meter,nyaya na watu wakuunganisha umeme.
3) Matatizo ya Luku.
4) Umeme Kukatika.
Hali Hii inakua kwa kasi sana Huku viongozi wa nchi wako kimya.
Je, hili tatizo litaisha lini?