Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Kila Mahali wananchi wanaendelea kulia bila Msaada wa viongozi kuhusu kukoswa huduma ya Tanesco kama.
1) kukoswa huduma ya surveyor
2) zaidi ya wananchi 210000 walio lipia huduma ya kuunganishiwa umeme , Hawajaunganishiwa kwa sababu ya upungufu wa meter,nyaya na watu wakuunganisha umeme.
3) Matatizo ya Luku.
4) Umeme Kukatika.
Hali Hii inakua kwa kasi sana Huku viongozi wa nchi wako kimya.
Je, hili tatizo litaisha lini?
1) kukoswa huduma ya surveyor
2) zaidi ya wananchi 210000 walio lipia huduma ya kuunganishiwa umeme , Hawajaunganishiwa kwa sababu ya upungufu wa meter,nyaya na watu wakuunganisha umeme.
3) Matatizo ya Luku.
4) Umeme Kukatika.
Hali Hii inakua kwa kasi sana Huku viongozi wa nchi wako kimya.
Je, hili tatizo litaisha lini?