Kilimo, soko na faida za Uyoga

Morogoro
Habari.

Unafahamu kuwa mushrooms zinaleta faida kwa anayelima? Ktk eneo la 10 x 10 unaweza tengeneza sh mil 14 kwa mwezi mmoja?

Sisi tunafanya hicho kilimo huku Morogoro na tunawafundisha watu wa huku ambao tunawaalika kwenye semina katika shamba letu kwa kiingilio cha sh. 60,000.

Kwa ambao wako mbali na moro tutaandaa semina wakati mwingine.

Kilimo cha kisasa cha mushrooms hakihitaji eneo kubwa na wala mtaji mkubwa. Huhitaji hata kuwa na mfanyakazi ila unaweza fanya mwenyewe

Kwa mawasiliano 0758 308193
morogoro sehemu gani mkuu?
 
Habari wore wanajamvi Mimi ni mama mjasiriamali nalima mbogamboga kwa muda was miaka minne sasa
Kilimo cha mboga no mradi mzuri lakini una changamoto zake. Kubwa kabisa in kupambana na hali ya hewa kama vile mvua nyingi na jua Kali. Naelewa kuwa kupanda kwenye Nyumba ya kijani inaweza saidia lakini mtaji was kutengeneza iyo kitu ndio shida kwa vile pesa ninayopata nafanya matumizi ya watoto. Kwa sababu nikizozitaja basis ninaomba kama naweza kufundishwa au kuunganishwa na wakulima wenzangu ili nijifunze mbinu mpya pia kama naweza jifunza kilimo cha uyoga kabda utanitoa pindi mboga zinapogoma kutokana na hali ya hewa.
 
Wadau Heshima kwenu,

Nimevutiwa sana na kilimo cha uyoga na nimeamua nianze rasmi lakini kabla sijaanza nataka kuwa na uhakika na masoko yake hapa nchini,

Tafadhali mwenye taarifa za masoko anijuze

asanteni
 
Soko la uhakika lipo kama scale yako ya production sio kubwa sana. Ushaur wangu anza kidogo den hakikisha unafanya value addition ya uyoga wako hasa packaging na give it a brand name.
 
Soko la uhakika lipo kama scale yako ya production sio kubwa sana. Ushaur wangu anza kidogo den hakikisha unafanya value addition ya uyoga wako hasa packaging na give it a brand name.


Nashukuru sana kwa ushauri japo nilitoka nje ya mji kwa siku kadhaa sikuweza kushukuru kwa wakati,
Kwa sasahivi ninachoweza kufanya ni kuukausha tuu lakini zaidi ya hapo Value addition ingine shule ndo tatizo -Je kuna mwenye msaada wa elimu hiyo?

Asanteni
 
Habari.

Unafahamu kuwa mushrooms zinaleta faida kwa anayelima? Ktk eneo la 10 x 10 unaweza tengeneza sh mil 14 kwa mwezi mmoja?

Sisi tunafanya hicho kilimo huku Morogoro na tunawafundisha watu wa huku ambao tunawaalika kwenye semina katika shamba letu kwa kiingilio cha sh. 60,000.

Kwa ambao wako mbali na moro tutaandaa semina wakati mwingine.

Kilimo cha kisasa cha mushrooms hakihitaji eneo kubwa na wala mtaji mkubwa. Huhitaji hata kuwa na mfanyakazi ila unaweza fanya mwenyewe

Kwa mawasiliano 0758 308193
Sasa mkuu kipi rahisi, kupiga hizo 14mil a month au kuwashawishi watu waingine semina za 60000tsh..
 
Back
Top Bottom